Haya ndiyo Mambo tusiyoyataka
Tatizo la Eric ukimkwatua akianguka, unamuwahi asije akakufiaHere We Go..!View attachment 2280793
Hapana acha so much bra bra let the point.Muda wa man u ulishapitaga.
Tatizo la man u kwa sasa ni mashabiki...
Kwanza mnasifia sana wale watoto..hadi wana under performe..mfano ni rahsford.
Pili mnawatishia wachezaji maisha cc maguire.
Nne vita yenu na mmiliki mnaileta uwanjani.
Man u wanahitaji kizazi kipya cha mashabiki kizazi hiki kilichoachwa na SAF kinaishi kwenye ndoto bado.
Tutapata majibu baada ya pre-season ila kwa uchezaji wa Bruno.....Me najiuliza Eriksen na Bruno nani atamkalisha mwenzie benchi maana wote ni 10

Hapana acha so much bra bra let the point.
Man united ni timu kubwa barani Ulaya, na ulimwenguni...classic man utd fans, kila mchezaji anapochezea man utd anaona amepita theater. Na kama unadhani wanaoingia wanalewa sifa ni ulongo...wao wenyewe wanaiona wanachensha, wanapiga viono uwanjani..makocha wanaitamani wanaogopa wataaibika.
Kinachoisaidia man utd ni Jina lake, huwez ukfananisha mapato kwenye Idara ya matangazo ya man city, Liverpool na man utd..... ticket kuiona man utd huwez ukaona inazidiwa mauzo na vitimu vyenu.
Ndio klab pekee yenye history iliyotukuka kwenye uwanja wa soka.(football industry)
Eth pamoja na kuonywa na Netherlands national team Koch aliamua achukue mikoba, cheki walimu walioomba na wakashindwa wakatimua, is the same thing pep huwez ukampa man utd akakubali, Kwa sababu he can not lead harder club like man utd, yenye challenges zaidi ya kuwa mwalimu uwanjani.
Alimwabia, utd is not a football club, it's a commercial club..yes let it be. Wewe ni mwalimu simamia. Unashindwaje una world proffer footballers. Ina PSG hizi likes clubs zinawalimu wake
Wewe huvimbiani na JF?? Yanga bwanaUmeandika kishabiki huku mahaba yamekuja tele.
Manchester united kwa sasa ina mashabiki wengi wanaohangaika na historia.
Kwa soka la sasa hivi nyinyi hata big 4 siyo sehemu yenu tena.
Team ina pressure kubwa ya mashabiki kuliko kitu chochote.
Bado mmiliki wa timu ni mfanyabiashara anaituma timu kukopa kwenye bank kwa ajili ya business zake.
Hivi kwa style hiyo mtatusua kweli...?
Bado mnaharibu vipaji vya vijana wengi tu...
Sancho wa Dortmund saiv hapo man u kachuja hata coastal union hapati namba.
Van der beek naye kageuka bench warmer.
Ili mpige hatua kutokea hapo mlipo ni lazima kukubali kuwa zama zimepita...ile man ya Ferguson ni zilipendwa.
Pep hawezi funidha man kwa sababu ya mfumo mbovu uliopo...
Wachezaji wana kiburi kuliko..
Mfano Pogba alikuwa anavimbiana na Mourinho..
Nidhamu ya ovyo kabisa.
Ni ngumu kuamini United imewaacha Mata,Herrera,Sanchez,Lingard,Pogba,Cavani,Matic wakaondoka free while huko nyuma kuna timu ziliwahitaji na kuna uwezekano wengine wengi wakaondoka freeManchester city wanauza wachezaji wao hususani kutoka team B kwa kiwango cha juu kabisa mpaka naingiwa na wivu, wameshakusanya paundi million 26 kwa mauzo ya wachezaji wawili walionunuliwa na southampton na wote wanatoka team B. wameshapata paundi million 40 kwa gabriel jesus na wanaelekea kupata paundi million kwa sterling. pia wamemuuza mjapan kwa bei ya jumla kwenda borussia. SISI TUNASHINDWA KUWAUZA HATA WA KIKOSI CHA KWANZA
Eriksen anacover nafasi 3, winga wa kushoto (rashford, alicheza inter), no 10 (bruno alicheza spurs), na no 6 (regista mbadala wa FDJ amecheza Brentford).Me najiuliza Eriksen na Bruno nani atamkalisha mwenzie benchi maana wote ni 10
Eriksen ni CM(primary position) ingawa anaweza kucheza position zingine including AM.Me najiuliza Eriksen na Bruno nani atamkalisha mwenzie benchi maana wote ni 10

️
#AFC