Cheology
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 384
- 606
Hapana acha so much bra bra let the point.Muda wa man u ulishapitaga.
Tatizo la man u kwa sasa ni mashabiki...
Kwanza mnasifia sana wale watoto..hadi wana under performe..mfano ni rahsford.
Pili mnawatishia wachezaji maisha cc maguire.
Nne vita yenu na mmiliki mnaileta uwanjani.
Man u wanahitaji kizazi kipya cha mashabiki kizazi hiki kilichoachwa na SAF kinaishi kwenye ndoto bado.
Man united ni timu kubwa barani Ulaya, na ulimwenguni...classic man utd fans, kila mchezaji anapochezea man utd anaona amepita theater. Na kama unadhani wanaoingia wanalewa sifa ni ulongo...wao wenyewe wanaiona wanachensha, wanapiga viono uwanjani..makocha wanaitamani wanaogopa wataaibika.
Kinachoisaidia man utd ni Jina lake, huwez ukfananisha mapato kwenye Idara ya matangazo ya man city, Liverpool na man utd..... ticket kuiona man utd huwez ukaona inazidiwa mauzo na vitimu vyenu.
Ndio klab pekee yenye history iliyotukuka kwenye uwanja wa soka.(football industry)
Eth pamoja na kuonywa na Netherlands national team Koch aliamua achukue mikoba, cheki walimu walioomba na wakashindwa wakatimua, is the same thing pep huwez ukampa man utd akakubali, Kwa sababu he can not lead harder club like man utd, yenye challenges zaidi ya kuwa mwalimu uwanjani.
Alimwabia, utd is not a football club, it's a commercial club..yes let it be. Wewe ni mwalimu simamia. Unashindwaje una world proffer footballers. Ina PSG hizi likes clubs zinawalimu wake



️
#AFC