Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

usifikirie tu juu ya replacement ya Ronaldo, kama yeye Ronaldo anavyotishia kuondoka kama timu haitosajiri waweza kuta wachezaji wanaokuwa approached wanasitasita kusign sababu ya presence ya Ronaldo pia.
Are you sure?

Man Utd inahitaji proven players, players who can fight for positions.

Angalia Man City, namba 1 ina wachezaji wawili majembe.

Hatuhitaji ku-baby sit wachezaji wazembe kama kina Rashford na Martial.
 
Chagua moja.
1. Man u yenye Ronaldo anayefunga magoli 30 na timu kwa ujumla inafunga magoli 60.
2. Man u isiyo na ronaldo na mchezaji mwenye magoli mengi afunge magoli 16 na timu kwa ujumla imefunga magoli 80.
Timu haikufunga magoli mengi kwasababu midfield ilipotea almost kila match.

Kufa kwa midfield ili-expose hata defence.

Ronaldo unaemchukia alikuwa anafanya nini huko Madrid?

Huyo Ronaldo angeenda Man City au Liverpool unategemea angekuwa wapi? Timu yetu ilikufa, mbele, kati na nyuma.

Personal effort ya Ronaldo ilitupitisha kwenye key matches.
 
Uwepo wa Ronaldo ni kama utatuzuia kusajili Striker au yawezekana Manchester bado wanaangalia ukuaji wa Alejandro Garnacho na hali ya Mason Greenwood.
Ronaldo kaomba kuondoka, je akiondoka tutasajili striker kweli?
 
Hii agenda ya "Ronaldo is the problem" ni ya kipuuzi tu iliyoanzishwa na wapuuzi hasa huko Twitter na ukiwaambia wakuelezee kwanini wana-support hii agenda hakuna hata mmoja atakueleza kitu cha maana.

Internet ni moja ya chanzo kikuu cha kusambaza habari na agenda za uongo.
 
Wakati mnatafakari kuhusu Kauli ya CR7, Kasikilizeni Interview ya Laporta leo , kasema Dejong anabaki


Barça president Laporta on de Jong: “There are many clubs that want him, not just Man United. We have no intention of selling him, he wants to stay”. #FCB

“I'm going to do everything to keep Frenkie, but there’s also a salary issue and that would have to be adjusted”.

#MUFC https://t.co/zG4mmo6Rfj
Barca wanataka wachezaji wengi ila bajeti yao inawafunga, De Jong ingekuwa kile kipindi Woodward anamwaga pesa mpaka sasa angekuwa training, sema sasa barca wanam value pesa kubwa ambayo man u wanaona hana thamani hiyo kwa sasa ambapo bid ilikataliwa ikabidi tuweke ads on zile ili itimie pesa wanayotaka barca, ni kaprocess kidogo maana kuna issue za wakala, atacheza match ngapi, makombe ili ifikie hizo ads on ila possibility week ijayo haiishi De Jong anatua
 
Ni kweli ndugu yangu ,ila tambua Barca Kuna pesa ameanza kuipata , so Mambo yanabadilika muda wowote , waulize Chelsea kuhusu Raphina , wamebaki WANATOA macho
Ishu ya Raphina mkuu haihusiani na klabu hizo ni mchezaji binafsi, ndoto zake ni Barca, ila Chelsea washakubaliana kila kitu na leeds imebaki player side kuamua la sivyo deal ingeshaisha muda tu
 
Msimu tunamaliza nafasi ya pili EPL timu nyingi zilicheza chini ya kiwango, msimu uliopita Chelsea walianza vizuri sana ilikuwa lazima wamalize ndani ya top 4, Spurs baada ya ujio wa Conte wakaanza kufanya vizuri sana kipindi hicho sisi tunadondosha points kipuuzi.

Halafu leo hii mtu anasema Ronaldo ndiyo sababu hatujamaliza top 4 na mtu huyohuyo msimu mzima alikuwa anaimba taarabu za Maguire asicheze, McFred siyo combo nzuri, tutafute DM, tununue CB, RB Dalot na AWB hawafai ila leo hii anakuambia RONALDO ndiyo sababu.

Kama mlikubali kuna mapungufu karibia kikosi kizima kwanini hamtaki kuamini ndiyo chanzo cha matokeo mabaya na siyo sababu ya ujio wa Ronaldo.

Ninatamani Ronaldo abaki, y'all need a humbling.
 
Msimu tunamaliza nafasi ya pili EPL timu nyingi zilicheza chini ya kiwango, msimu uliopita Chelsea walianza vizuri sana ilikuwa lazima wamalize ndani ya top 4, Spurs baada ya ujio wa Conte wakaanza kufanya vizuri sana kipindi hicho sisi tunadondosha points kipuuzi.

Halafu leo hii mtu anasema Ronaldo ndiyo sababu hatujamaliza top 4 na mtu huyohuyo msimu mzima alikuwa anaimba taarabu za Maguire asicheze, McFred siyo combo nzuri, tutafute DM, tununue CB, RB Dalot na AWB hawafai ila leo hii anakuambia RONALDO ndiyo sababu.

Kama mlikubali kuna mapungufu karibia kikosi kizima kwanini hamtaki kuamini ndiyo chanzo cha matokeo mabaya na siyo sababu ya ujio wa Ronaldo.

Ninatamani Ronaldo abaki, y'all need a humbling.
Its shame kwa club,Kitendo cha kutaka kuondoka inaonesha Cr7 yupo ambitious kuliko man utd.
Nafikiri hata akiondoka hakuna wa kumlaumu amejitoa sana last season.
 
Its shame kwa club,Kitendo cha kutaka kuondoka inaonesha Cr7 yupo ambitious kuliko man utd.
Nafikiri hata akiondoka hakuna wa kumlaumu amejitoa sana last season.
Hakuna wa kumlaumu aisee, kuna muda kuna wachezaji nawaonea huruma ukitoa pesa watakazopata hakuna kitu watatoka watasema nilishinda kitu fulani nikiwa United.

Haya masuala ya DNA ni upuuzi wachezaji wanataka mafanikio ya uwanjani pesa zipo kila mahali. Wengi wanamtukana Pogba na wengine pia washaanza kumgeukia Ronaldo ila hii timu haipo serious hata kidogo. Hakuna kitu cha kueleweka kinachoendelea.
 
Hakuna mchezaji aliyenunuliwa mpaka sasa. Wakati msimu unaisha ilidhaniwa MUFC itakuwa the busiest team sokoni. Wachezaji waliopo ukiondoa CR7 na De Gea hakuna mwenye confidence tena. De Gea mwenyewe atachoka kujituma kwa team inayompa 0 Goal Difference ktk mechi 38 za EPL. Kuna tatizo kubwa mahali la kujadili siyo kumaliza MB kumjadili CR7.
 
I think yanayotokea now yanaendelea ku-expose matatizo ambayo management yetu iliyafanya huko nyuma (Woodward era).Tulikosea sana kufanya decision(technical decision) kwenye mambo mengi hatukuwa na contingent plan na pia tulikuwa tunachelewa sana kufanya decision kwenye mambo ya msingi.Kabla hujamsajili kocha/mchezaji lazima ujue weakness/strength zake na jinsi ya kuzi-utilize na nini cha kufanya ikiwa mchezaji/kocha atafeli.Recently tumeona jinsi Man City,Liverpool,Bayern Munich,Real Madrid jinsi wanavyohandle jinsi ya ku-replace wachezaji

I hope the new management wanajifunza haya makosa hayatajirudia
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
It's true,Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Ni sawa kuendelea na mshambuliaji mzee ambaye moyo wake ushahama kwenye timu yetu?.
 
Mbona mnamsemea ETH?

What if ronaldo ni key player wa ETH?

Mnaongelea mchezaji anaekupa magoli 25 ya uhakika, nani wa kureplace? Rashford? Martial?

Mpaka sasa kusajili kunasumbua, sasa kupata striker wa kureplace ronaldo mnaongelea £100M kwenda mbele. Wakati DeJong wa £85M anatutoa jasho mwezi sasa.

United ya sasa haina hela, haina influence, haina Champions League. Hakuna mchezaji serious anaekuja, labda afuate mshahara mkubwa tu.

Kuweni serious guys.
Soma tena labda utanielewa, BTW im not a fan of this football club, im just trying to have opinions.
 
huyu Ronaldo nilijaribu kumuelezea kutokea kwenye angle ambayo wengi hawakutaka kuitumia lakini nikiaishia kuitwa pro mesi na kutolewa kauli zingine za dhihaka.

huyu alichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu trend ya mafanikio ya timu iliyopata msimu wa 2020/21, mchezaji wa aina yake hakuwa kwenye plans za OLE, na kimsingi alikuwa mzigo kwa timu kuliko msaada.

huyu alikwenda pale akiamini atatembelea nyota ya mafanikio ya 2020/21 kupata kick ya kuiwezesha timu kuchukua makombe, akaishia kumvuruga kocha na kila mchezaji.

kama ten hag anajielewa auachilie huu mzigo uondoke with immediate effect
Blaa bla
Mchezaji kafunga goli 24 kwa timu ameharibu nini, kawaambia akina Bruno wasicheze?, kamwaga simu dressing room. Huu umbea ni wa karne kisa tu damu yako haimpendi Ronaldo. Ngoja aondoke awaachie litimu lenu. Mou alisema vizuri kuhusu Manuure kwamba hata akiondoka Man united bado haitakaa vizuri kwa sababu tatizo la msingi halishughulikiwi. Akiondoka Ronaldo bado mtaangamia kwa sababu you don't want to address the real problem within the club
 
Ni sawa kuendelea na mshambuliaji mzee ambaye moyo wake ushahama kwenye timu yetu?.
Pogba,Lingard wanted to go klabu haikuwauza baadae wakaondoka free,kama mchezaji anataka kuondoka aachwe aondoke klabu lazima iwe na contingent plan.Di Maria,Varane,Ramos ,CR7 walivyotaka kuondoka Perez hakuwazuia na ili-generate kiasi kubwa akafanya replacement na klabu bado iko stable.
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
Kwa hiyo kupungua kwa idadi ya magoli imesababishwa na Ronaldo, how?
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
Tupe na data za defence kwa kipindi hicho achana na magoli ya kufunga
 
Kuna replacement plan ya Ronaldo?

Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Post yangu uliyoquote nilimaanisha hiki kitu, nashangaa hukunielewa.

Uwepo wa Ronaldo upfront unamruhusu kocha kuimprove squad kwenye other positions. Kuondoka kwa Ronaldo either united waspend big money kubuy CF wa Kumreplace Ronaldo kitu kitachozuia kuimprove other positions (financially wise) OR waimprove other positions huku wakitafuta cheap CF kitu kinachowarudisha nyuma quality wise.

Ten hag hili suala analiangalia kiufundi zaidi wakati management wanaliangalia kiufundi & kiuchumi.
 
Ubora upi alileta Ronaldo au ustriker upi?

Msimu wa 2019/20 Man Utd ilifunga magoli 66
msimu wa mwaka 2020/21 ilifunga magoli 73

this was an upward trend na timu ikamaliza ligi ikiwa nafasi ya pili, then akaja striker mleta magoli

msimu wa mwaka 2021/22 ikafunga magoli 57.

Making 2021/22 among the worst in goal scored record post fergie error.

sababu
2018/19 timu ilifunga magoli 65.
2017/18 timu ilifunga magoli 68.

hivyo expectation, false expectation iliyokuwapo kwamba ataleta magoli, na hizi propositions kwamba oohoo ni top goal scorer (as if timu zingine hazina top scorers) na kwamba alipokuwa hachezi timu ilikuwa haifungi, zote ni uzandiki tu.

Ronaldo made the team collectively weak in every aspect.
FACT
Screenshot_20220703-120430_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom