D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Simon stone na laurie whitwell wote wameripoti hii taarifa ya ronaldo, bila ya kumsahau mzee wa here we go ambaye mwanzoni nadhani alikanusha hii taarifa (sina uhakika). Mara nyingi fabrizio anafeli kwenye ishu nyeti au za ndani zaidi za klabu hususani manchester united

