Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal iwe ya 10?na red cards zote ziwe za Arsenal?motherfuc*** wewe
computerarsenal mbona makasiriko tena????
Hio ni prediction tu ya Pool Table hata wewe haukatazwi kufanya prediction yako.
Halafu hili ni jukwaa la watu wastaarabu na wanaojiheshimu matusi hayaruhusiwi ,
Ukijisikia kutukana nenda kule kwenye jukwaa lenu la watovu wa nidhamu.
 
20220630_153714.png
 
Jersey naona zinaachiwa kesho japo mbogo zishafika wamechelewa kweli kenge hawa.
Screenshot_20220630-163018.jpg
 
Spurs will find its way to be Spurs. Hawa hata wakimsajili Nani, sijawahi kuwa na wasiwasi nao
Siyo kwa Spurs hii ya mwaka huu, misimu iloyopita Spurs walikuwa wanasajili average players na kuna kipindi walikaa muda bila kusajili.

Ila tu pamoja na signings zote wanazofanya Spurs, Arsenal, Chelsea na United sioni bingwa akiwa katika hizi timu nne, kwenye long run timu kama City na Liverpool zina nafasi kubwa kubeba ubingwa kwasababu ya squad depth waliyonayo. Uki-batle first eleven ya vikosi vyote vya hizi timu 6 utakuta zina uwezo sawa 'potential-wise' ila ukirudi kwenye kikosi kizima wakikumbwa na majeruhi au some players wakiwa out of form hapo ndiyo maji hujitenga na mafuta. City katika mechi 38 wanapiga rotation ya kutosha na quality na performance ya timu ni ileile rudi sasa kwa hawa Spurs, Arsenal, Chelsea na United akikosekana tu mchezaji mmoja au wawili wa first eleven kwisha habari yao.

Kwangu naona next season ni nafasi mbili za City na Liverpool katika top 4 na hizo mbili watapambania wanaobaki. Ila all in all football haiishi kutushangaza.
 
computerarsenal mbona makasiriko tena????
Hio ni prediction tu ya Pool Table hata wewe haukatazwi kufanya prediction yako.
Halafu hili ni jukwaa la watu wastaarabu na wanaojiheshimu matusi hayaruhusiwi ,
Ukijisikia kutukana nenda kule kwenye jukwaa lenu la watovu wa nidhamu.
Arsenal inaonekana wamejipanga kutetea nafasi yao ya tano
 
FDJ laini Sana ,yule kwa epl atajuta ,

man u mkumbuke sub Ni 5 msimu huu,

Kufika October mtakuwa mshaandamana kwa mmiliki wa timu ,hamna uvumilivu kabisa

Sitashangaa ETH asimalize msimu
Hili swala la kufikiri kwamba wachezaji wanaokuwa wazuri huko Spain hawawezi kucheza hapo EPL huwa naona ni ya kiduanzi tu na isiyo na mashiko kabisa.

Haohao mnaowaona ni walaini kuwa wanazigongesha hizi team zenu za EPL mpaka wanatoka ulimi nje kila wanapokutana kwenye UEFA (tena home&away), sijui kwanini hiki kiburi hakijawahi kuwaisha.
 
Tyrell Malacia to #mufc is being complicated by representation issue. Malacia was using Ali Dursun but not authorised on this so 22-year-old doing it with father.
 
Msimu wa 2022/2023 utakua msimu mgumu sana na moja ya msimu bora kabisa kuwahi kutokea EPL.

Hawa top 6 aisee wamejipanga sana, vita ni kali mno. Kuna bomu anasuka Conte pale Totte
Conte ana jambo lake msimu ujao. Sio kwa anavyokisuka kikosi chake kimyakimya
 
Back
Top Bottom