Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.
Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.
Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
Sosha ni wakutimuliwa..anakosa extra edge kutufanya tubebe makombe..mfano hiki kikosi tulichonacho ni cha kunyanyua kwapa kabisa ila utashangaa tutakavyoondoka trophyless msimu huu.
Upuuzi mtupu..sosha atupishe aje hata Conte tubebe kombe.
Unakumbuka kwamba mara ya mwisho tunawakula pale Stanford Bridge goli la kwanza alifunga Martial akipewa pasi ya upendo na Bissaka na bao la pili aliwapiga captain mwenyewe Harry Maguire.