Wakata nini?MY STARTING XI vs YOUNG BOYS JUMANNE..
========
De Gea
AWB Varane Lindelof Telles
Fred van de BEEK
Sancho Fernandes Lingard
Ronaldo
=======
Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.
Chelsea mbali mno young boys tu atawapiga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mnajichekesha aisee mnajitapa kufunga wachovu subiri mkutane na wanaume Chelsea ndio muipime team yenu msije baadae mkaanza na kauli za Ole out
Usiidharau young boysNimeangalia group lenu nimecheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili ni group la uefa kwel au Europa ????
Villareal
Young boys
Atalanta
Man utd .,
Sasa hapo timu ya uefa si Atalanta ,hili group utafikili ni la Europa walahi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hawatarudisha kweli?
Labda tatu mzukagoli tatu hazikosekani hapa
dah, red card na sub ya ronaldo zimetuangushaLabda tatu mzuka
Sosha ni wakutimuliwa..anakosa extra edge kutufanya tubebe makombe..mfano hiki kikosi tulichonacho ni cha kunyanyua kwapa kabisa ila utashangaa tutakavyoondoka trophyless msimu huu.Hatuna KOCHAAAA.
Tuna wachezaji Tishio kabisa, Tishio namaanisha mchezaji mmoja anaweza kuwa Tishio kwa Mabeki 2, so tukiwa pungufu 10 bado kuna wachezaji wanaweza kufanya tuwe 11, Weka Greenwood, na Varane alafu Fanya pressing ya nguvu ili kutowapa wapinzani chance ya kugain confidence.
Ole KILAZA. Ifike mahali tumfukuze huyu Maasai akajipake mafuta ya Ng'ombe na kulala kwenye ngozi.
Update:OGS amefundisha mechi 11 Champions league kashinda 4 kafungwa 7OGS kafundisha mechi 4 tu Champions league kafungwa 3 kashinda moja
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Mashabiki mengi ya manure akili zao wanazijuaga wenyewe.Wenyewe wanasema kosi la dunia cjui Kwa kigezo gani[emoji23]
Baada ya hapo wameisaidia nin man united..Unakumbuka kwamba mara ya mwisho tunawakula pale Stanford Bridge goli la kwanza alifunga Martial akipewa pasi ya upendo na Bissaka na bao la pili aliwapiga captain mwenyewe Harry Maguire.
Wakuu Jana nimekutana na Lingard Tegeta ananuka bia balaa. Sosha anachezesha walevi, Mpumbavu sana. Tumchukue Roy Hodgson tubebe hili kombe
Yule ARV hajaleta misimamo leo hahahahaNyie wapuuzi View attachment 1938413