Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Flano, min -me kama shida ni vibanio fungeni nywele kwa kamba.
FB_IMG_17761122526485009.jpg
 
Man utd ya kizenge sana....

Next season wakijichanganya hakuna Ucl football.... Epl itapeleka timu 5 ! Arsenal na City wao wameshajihakikishia .... kuna Liverpool, villa, Chelsea na utd wanagombania hizo nafasi 3 zilizobaki !

Jana ilikuwa nafasi ya kupanua wigo wa points ili wajihakikishie nafasi! Bure kabisa
 
Back
Top Bottom