Una gundu babu. Wenzako tupo hapa tunawanga mambo yanaenda unakuja wewe wanarudishaAh namna gani pale leeds tunaruhusu goli, huu n ujinga
Ah Inabidi nikaoge na maji ya bahariUna gundu babu. Wenzako tupo hapa tunawanga mambo yanaenda unakuja wewe wanarudisha
Wape nondo awa nyumbuNyumbu kwenye moja na mbili 😂
View attachment 3574273
Katika kachezaji kapumbavu.
Nyie hamuoni mataji mnaona nafasi tuuBado naiona nafasi pale juu
Mataji bebeni nyie sie muda wa kubeba mataji bado haujafikaNyie hamuoni mataji mnaona nafasi tuu