Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tetesi

Liverpool wameanza mazungumzo ya mkataba na mshambualiaji wa Brazil Robert Firmino. Meneja Jurgen Klopp anesema mchezaji huyo wa miaka 26 anastahili kupewa mkataba mpya. (Metro)

Liverpool wanaongoza mbio za kumsaini kiungo wa kati wa Nice Jeam Michael Seri huku Arsenal, Manchester United na Tottenham wakimmezea mate mchezaji huyo wa miaka 26.
 
22552596_1984678185142999_2135052696869041803_n.jpg



Mo Salah has been named PFA Player of the Month for February

√ His 3rd PFA monthly award this season.

• 3 appearances
• 4 goals
• 6 chances created
• 2 assists
• 5/7 take-ons
• 40% shots-to-goals conversion
 
Majibu Ya AOC anayowajibu Gary Neville & Thierry Henry Ambao Hapo Awali Walidadisi Kwa Kuutilia Mashaka Uhamisho Wake Wa Kutoka Arsenal Kwenda Liverpool Baada Ya Kufunga 3 Goals na 6 Assists Katika Michezo 13 aliyoanza.

alex-oxlade-chamberlain-stupid-criticism_rt2xnbkutqof1on5ybnl3l558.png
 
View attachment 705411


Mo Salah has been named PFA Player of the Month for February

√ His 3rd PFA monthly award this season.

• 3 appearances
• 4 goals
• 6 chances created
• 2 assists
• 5/7 take-ons
• 40% shots-to-goals conversion

Hivi mkuu hizo tuzo za pfa month award kane anazo ngapi? Kwa kumbukumbu zangu wako sawa na kane
 
Naona mnafurahi wenyew humu ndani,,tarehe kumi kama hakutakua na "klopp out "basi kutakua na "average players ndo wanatuangusha Liverpool"

Mkuu tunafurahia sana tu,sasa hivi kila timu inaogopa kucheza Na Liverpool hata man city ambaye a naonekana kashindikana .liverpool imeimalika sasa hivi mkuu kama ulikuwa aujui sio tu kwa maneno mpaka sasa Liverpool kapoteza mechi 3 tu kwenye ligi,hiyo timu yako imepoteza mechi ngapi mpaka sasa na inamagoli mangapi?

Achakuongelea vitu kwa mazoea Liverpool ya sasa iko on .kwa wachezaji gani bora waliokuwa nao man? Wamebaki majina tu uwanjani ni average player.subiri mpate aibu hiyo umetumia gharama nyingi kusajili majina makubwa uwanjani wanatembea tu.
 
Tetesi

Kiungo wa kati wa Liverpool Alex Oxlade-Chamberlain, anasema lawama dhidi yake kwa kuhamia Anfield kutoka Arsenal ni upuzi akisema kuwa lawama hizo hazina athari yoyote kwake.(Mirror)
 
Naona mnafurahi wenyew humu ndani,,tarehe kumi kama hakutakua na "klopp out "basi kutakua na "average players ndo wanatuangusha Liverpool"


Hata Swansea Kibonde alitufunga na Hukusikia " Klopp Out"! Kwahiyo Hata Huyo Manure Atufunge basi Hutosikia "Klopp Out" isipokuwa tutamkosoa iwapo tutagundua Kuwa Kuna Uzembe ulifanyika.

Na Kuhusu Kuwa na "Average Players" Hilo Halitaki Kuwa Mpaka Tufungwe!! Hata Tunaposhinda Basi Timu Yetu bado ina average Players (Robertson, TAA, Lovren, Can, Henderson, Chamberlain, Gini, Matip, Karius, Solanke, Ings, Gomez na Lallana) Lakini Wanajituma.

Kwahiyo Hata Manure mutufunge Bado Klopp hapa atabaki Salama.
 
Gemu zetu 9 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-

√ Man Utd (A)
√ Watford (H)
√ Palace (A)
√ Everton (A)
√ B'mouth (H)
√ WBA (A)
√ Stoke (H)
√ Chelsea (A)
√ Brighton (H)

Home (H} Ni 4 na Away (A) Ni 5.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 4 za Home na Kujikusanyia Points 12 na Katika Michezo 5 Ya Away Tukatoka Sare Mechi 3 (Palace, Everton & WBA) na Kupoteza Mechi 2 (Manure & Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 15 Katika Hiyo Michezo 9.
Ukijumlisha Hizo Points 15 na 60 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 75.
Hizo points are enough to be in a Comfortable zone..
 
Mohamed Salah has been named PFA Player of the Month for February.

His third of the season
 
Salah was bought in this season for £37million, to put this into perspective..

Lukaku £75m
Morata £60m
Aubameyang £55m
Mendy £52m
Lacazette £46.5m
Bakayoko £35m
Lindelof £31m
 
Gemu zetu 9 za [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] zilizobakia ni:-

√ Man Utd (A)
√ Watford (H)
√ Palace (A)
√ Everton (A)
√ B'mouth (H)
√ WBA (A)
√ Stoke (H)
√ Chelsea (A)
√ Brighton (H)

Home (H} Ni 4 na Away (A) Ni 5.
Iwapo Tutashinda Mechi Zote 4 za Home na Kujikusanyia Points 12 na Katika Michezo 5 Ya Away Tukatoka Sare Mechi 3 (Palace, Everton & WBA) na Kupoteza Mechi 2 (Manure & Chelshit) basi Tutajikusanyia Points 15 Katika Hiyo Michezo 9.
Ukijumlisha Hizo Points 15 na 60 tulizonazo basi Tutapata Jumla ya Points 75.
Hizo points are enough to be in a Comfortable zone..
Chelsea sio nyumbani mkuu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom