Watu wamekaa tangu jana wanamuangalia kinyonga anavyojaribu kubadilika rangi, wanaombea kuwa atageuka kuwa kambale!!.. Tuna moyo.
Mie sioni na sijui kwanini EL aliekubali kujiuzulu bado mna mfuata fuata, kuna mijizi mingi bado imo humo ndani wala hamuwasemi!!!
Edward Lowassa ni BORA mara millioni Trillioni zaidi ya wengi waliomo CCM, mtabisha lakini ukweli mnaujua na upo wazi.
EL was getting things DONE.... Mnataka kuwa na viongozi legelege wanaolalamika kama sisi wananchi tulio vijijini?
Mnataka viongozi wasio na MENO?, EL tayari ana hela kaiba au hakuiba haijalishi...ataingia kuchapa kazi ndo alichobakisha.
Jaribuni ku focus kwenye real issues zilizopo na sio kumwandama asiyekuwepo hata kwenye system!
Watu wamekaa tangu jana wanamuangalia kinyonga anavyojaribu kubadilika rangi, wanaombea kuwa atageuka kuwa kambale!!.. Tuna moyo.
Ngoja tuone hizi sarakasi zitaishia wapi??
Watu wamekaa tangu jana wanamuangalia kinyonga anavyojaribu kubadilika rangi, wanaombea kuwa atageuka kuwa kambale!!.. Tuna moyo.
..mwisho CCM watagundua kuwa tatizo ni JK na siyo watendaji wa CCM.
..hivi mnategemea uteuzi huu utapunguza makali ya maisha ya Mtanzania wa kawaida?
..Kinana ni mtu wa karibu sana na Edward Lowassa.
..haya mabadiliko ni kama yamefanywa na Lowassa kwa kutumia remote control.
Kama usemavyo wewe mwenyewe kuwa Mukama ni analytical, then if that is the case hawezi kuushabikia ujana for ujana's sake !! Age is just a number what matters ni kama muhusika kijana au mzee ana uwezo wa kuyakabili kiufanisi majukumu aliyopewa. Hata bumngeni kuna watu wa makamo ambao mchango wao hao wabunge vijana hawaufikii hata robo yake!!Utabiri wangu hatimaye unakaribia kukamilika. Nilieleza bayana kwamba mwenendo wa Bw. Mukama ulinifanya nihisi kuwa anaandaliwa kuwa General Secretary wa CCM. Ukweli ni kwamba huyu bwana ni msomi na analytical. Binafsi namwona ana matatizo makubwa mawili. Kwanza ni king'ang'anizi. Akiamua yeye anataka kitekelezwe bila kujali mawazo kinzani ya wenzie. Ana maamuzi ya kiimla. Pili, bado hajatambua role kubwa ya vijana katika kuendesha chama. Ni mwenye mtazamo kwamba wazee ndiyo wanaopaswa kushika usukani na vijana wanakaa pembeni huku wakijifunza kwa wazee. Haamini mtazamo kinzania ambo ni vijana ndiyo wanaopaswa kushika usukani na wazee pembeni huku wakitoa ushauri unaotokana na uzoefu wao.
Zakhia Megji Ni mkwe wa Kilaza Wetu, Sio Mchapa kazi labda huo uchapakazi kazi alikuwa anamfanyia Mzee Ruksa akilalaHabebwi na mtu, huombwa na kuangukiwa, ni mchapa kazi sana, na kichwa, wacha. Waulize wanaomjuwa. Si mwanamke wa kawaida.
Hivi KOBE anaweza kujivua gamba?
Hii kitu sijaielewa kabisa.
Jamani wabondeni kina makinda na sofia simba labda naweza kuwaelewa,lakini Zakhia meghji ni mwanamama wa shoka na very smart!zakia meghji tena, CCM itaendelea kudidimia, au ni kweli JK anamke mdogo ambaye ni mtoto wa Zakia maana siamini kabisa kama Zakia karudi kundini wakati ni fisadi wa EPA, pia yuko kundi hali la mafisadi papa ie Rostam