Vipi CV yake huyu jamaa (Wilson Mukama)?
Aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la DSM......Mtu wa madili pia
CCM hawaangalii sifa hizo za political scientist wanaangalia nani mwenye mdomo mkubwa wa kupambana na wapinzani wao wakuu CDM.Ninavyomfahamu kwa uchache Mukama ni Political Scientist. Amewahi kuwa tutor chuo cha Kivukoni, Mkurugenzi wa Jiji la DSM, Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Katibu Mkuu Afya, Katibu Mkuu-Maji na baada ya kustaafu aliteuliwa na Rais kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa TSN. Pia ni Strategist wa CCM.
Mapema sana kuzungumzia maadili ya mteule yeyote aliyewahi kuwa mtendaji ndani ya CCM, Hapa tuzungumzie qualifications na uwezo wa kusoma alama za nyakati ikiwamo kuhakikisha kuwa anamshawishi mwenyekiti wake kuacha kuwalinda wale wote walioliibia Taifa hili kwa kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria bila kujali majina ni kina nani. Otherwise itakuwa ni yaleyale ya kumchukua kunguru mweupe na kumfungia kwenye boksi lenye uchafu ukitarajia kwa kufanya hivyo box nalo litakuwa jeupe.
Kawapigania kuingia madarakani leo wanatupa jongoo na mti wake, lakini ndiyo siasa usijali baba yangu Makamba.Kama haya ni ya kweli, basi CCM haina shukrani. Makamba kawapigania siku zote! Alikubali kupakwa matope ya chama akabaki nayo ili chama kinusurike! Eti kaondoka kirahisi hivyo? Makamba usijali Mungu atakulipia!
Wapi bwana usitake kumpa misifa ya bure tu, kwa nini alijiuzuru uwazi wa fedha? hana lolote zaidi ya kubebwa tu!Habebwi na mtu, huombwa na kuangukiwa, ni mchapa kazi sana, na kichwa, wacha. Waulize wanaomjuwa. Si mwanamke wa kawaida.
Teh teh kumbe kweli na jk ulikuwa kimkakati tumekutafuta sana kwenye kongamano udomAlikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na sasa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TSN