Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mukama katulia sana alikuwa utendaji wake si wa kubwabwaja ni msomi anapenda kujibu hoja alikuwa JIJI THEN katibu mkuu afya then katibu mkuu maji mpaka akastaafu.akateuliwa na rais kuwa mkurugenzi wa bodi habari.na amehusika sana kutunga ilani ya ccm 2010-2015 hivyo watu wenye bongo zao wanarudi chamani pia ni mtu wa system.

no thank you........ni gamba la kifutu huyu tena hafai

 
Habebwi na mtu, huombwa na kuangukiwa, ni mchapa kazi sana, na kichwa, wacha. Waulize wanaomjuwa. Si mwanamke wa kawaida.

na akiwa waziri wa fedha aliwahi kutamka hadharani kwamba alidanganywa na Daudi Balali katika ufisadi wa EPA...
 
1349.png
 
Alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na sasa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TSN
 
Habebwi na mtu, huombwa na kuangukiwa, ni mchapa kazi sana, na kichwa, wacha. Waulize wanaomjuwa. Si mwanamke wa kawaida.


Sijaelewa mkuu kivipi MCHAPA kazi Kufa, halafu Huombwa na Kuangukiwa, tena Na kichwa? una maana ni mchapakazi na kichwa chini au? CHIKCKEN HEADS unamaana? fafanua mkuu
 
..Kinana ni mtu wa karibu sana na Edward Lowassa.

..haya mabadiliko ni kama yamefanywa na Lowassa kwa kutumia remote control.
 
Mukama katulia sana alikuwa utendaji wake si wa kubwabwaja ni msomi anapenda kujibu hoja alikuwa JIJI THEN katibu mkuu afya then katibu mkuu maji mpaka akastaafu.akateuliwa na rais kuwa mkurugenzi wa bodi habari.na amehusika sana kutunga ilani ya ccm 2010-2015 hivyo watu wenye bongo zao wanarudi chamani pia ni mtu wa system.

system ipi?au system ya maji taka???hana jipya ni wa kawaida mnooooo
 
Tunasubiri utendaji wao, japo tayari wengi wao utendaji wao unajulikana!
 
Sijaelewa mkuu kivipi MCHAPA kazi Kufa, halafu Huombwa na Kuangukiwa, tena Na kichwa? una maana ni mchapakazi na kichwa chini au? CHIKCKEN HEADS unamaana? fafanua mkuu

I am also lost....did he mean, they had to beg her for her to accept the new post or ?

I am genuinely happy for Napelape...kweli jirani yangu huyu wa seaview has gone through a lot...truth has costed him more than anyone can imagine...I am so glad that it was you and not 'waganga njaa' who were chosen amongst the youth! Big up sana!!!

Mhandisi
 
Back
Top Bottom