Kuchaguliwa kwa Nape liwe Fundisho kwa vijana wenzake wanaotumiwa na mafisadi kama yule msomari. Simamia ukweli na ukweli utakuponya. Wao walibenk kwa LA. kiko wapi. Nape alijitahidi kujiepusha na mafisadi mwisho wa siku analia kivulini. Vijana wadogo kama msomari kuanza kuwa groomed kuwa mafisadi inasikitisha. Anyway for the sake of our country hii timu mpya iangamize mafisadi wote vijana na wazee! I am for change regardless inaletwa na Chadema au CCM. Hatuhitaji tu sura mpya ila tunataka mtusafishie hii nchi jamani.
Mambo haya yanawezekana kwa ilani ya CDM, huo uchumi wa kuajili vijana wote hao unapatikana wapi wakati vijana wapo bize kuandamana. Hizi namba zinakwenda na majukumu, unless wananchi wanaacha kulalamika na kufanya kazi uchumi huu hauwezi kuletwa kama mana. unawezekana tu kwa documents itakayotumika miezi miwili then kuwekwa library kama ile ya cement 5000/- ilivyofanywa.
Wilson Mkama kaukwaa ukatibu mkuu wa CCM, Makamba nje!
Ni kama ilivyotabiriwa na mwana JF mmoja January 12, 2011 hapa ~ https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...lson-mukama-anaandaliwa-kumpokea-makamba.html
Huyu jamaa alikuwa na Keenja Jiji la DSM,baada ya hapo nkumbuka kama alikuwa katibu mkuu wizara moja wapo ya awamu ya nne.
huyu nnape ana uzoefu gani? na je atawezana na misukosuko?Haya kisha iva:-
WILSON MUKAMA KATIBU MKUU CCM,
NAPE MOSES NNAUYE KATIBU ITIKADI NA UENEZI,
ZAKIA MEGHJI KATIBU FEDHA NA UCHUMI,
Dr REHEMA NCHIMBI KATIBU ORGANISATION
Mambo haya yanawezekana kwa ilani ya CDM, huo uchumi wa kuajili vijana wote hao unapatikana wapi wakati vijana wapo bize kuandamana. Hizi namba zinakwenda na majukumu, unless wananchi wanaacha kulalamika na kufanya kazi uchumi huu hauwezi kuletwa kama mana. unawezekana tu kwa documents itakayotumika miezi miwili then kuwekwa library kama ile ya cement 5000/- ilivyofanywa.
Mwizi ni mwizi tu ndugu, hawezi ridhika...kama ameshaiba vyakutosha kama unavuo muambie akatulie ale hizo hela na sikutaka kuwaibia wadanganyika tenaMie sioni na sijui kwanini EL aliekubali kujiuzulu bado mna mfuata fuata, kuna mijizi mingi bado imo humo ndani wala hamuwasemi!!!
Edward Lowassa ni BORA mara millioni Trillioni zaidi ya wengi waliomo CCM, mtabisha lakini ukweli mnaujua na upo wazi.
EL was getting things DONE.... Mnataka kuwa na viongozi legelege wanaolalamika kama sisi wananchi tulio vijijini?
Mnataka viongozi wasio na MENO?, EL tayari ana hela kaiba au hakuiba haijalishi...ataingia kuchapa kazi ndo alichobakisha.
Jaribuni ku focus kwenye real issues zilizopo na sio kumwandama asiyekuwepo hata kwenye system!
Baada ya kikao, RA alisema "They won the battle but the fight is still on"
Naitafsiri kauli hii Kama RA haoni wa kumtisha, anajua anachotarajia au anachotaka kufanya karibuni.
Wanajamvi nakumbuka kuna kipindi makamba aliwahi kumlaani nape na kusema hata samehewa mbinguni na ahera, duh kweli siasa ni mchezo mtamu sanaaaaaaaa, tetesi zinasema makamba jana alitaka kuondoka arudi tanga baada ya kujizuru watu wakamzuia
Mukama katulia sana alikuwa utendaji wake si wa kubwabwaja ni msomi anapenda kujibu hoja alikuwa JIJI THEN katibu mkuu afya then katibu mkuu maji mpaka akastaafu.akateuliwa na rais kuwa mkurugenzi wa bodi habari.na amehusika sana kutunga ilani ya ccm 2010-2015 hivyo watu wenye bongo zao wanarudi chamani pia ni mtu wa system.