Sasa wewe hiyo 1215 ndio nini? Kalenda gani unatumia
total excitement....... msamehe bure
Sasa wewe hiyo 1215 ndio nini? Kalenda gani unatumia
Labda wabadilishe katiba au waache kumuita WAZIRI MKUU MSTAAFU,
Maana Katiba inasema automatiki MAWAZIRI WAKUU WASTAAF waingia kwenye hizo kamati!
Teh teh teh! So lowasa ndio wamesha mtoa msukule.Habari za kiintelijensia kutoka dodoma zinasema lowasa katoswa rasmi nec,.na wnegine wanafuatia,.hii nyeti nimeipata kutoka kwa ccm member aliyomo ndani ya hichi kikao cha wanga
hizo intelligential zako hazitumii mbinu za kisasa; katika hali halisi kumtoa mtu ujumbe wa NEC kuna mlolongo mrefu labda mtu mwenyewe akubali kujihudhuru, jambo ambalo nina uhakika Lowasa hawezi kulihafiki. Katika kukwepa mlolongo huo ndio maana wajumbe wote wa kamati kuu walijihudhuru ili kuwaingiza walengwa kwenye mkumbo huo na hapo baadaye wao warejeshwe.
Jk anaenda barabara ya8 kumtembelea mzee mkongwe wa chama iko Mzee OMARY SULEIMANI.wacha uwongo nec haijavunjwa kwahiyo hawachagui wajumbe wa nec.
Kuna tofauti kubwa mno kati ya kustaafu na kujiudhuru. Msipotoshe tafadhali EL alijiuzu mbele ya macho yetu mchana kweupe!Labda wabadilishe katiba au waache kumuita WAZIRI MKUU MSTAAFU,
Maana Katiba inasema automatiki MAWAZIRI WAKUU WASTAAF waingia kwenye hizo kamati!
hizo intelligential zako hazitumii mbinu za kisasa; katika hali halisi kumtoa mtu ujumbe wa NEC kuna mlolongo mrefu labda mtu mwenyewe akubali kujihudhuru, jambo ambalo nina uhakika Lowasa hawezi kulihafiki. Katika kukwepa mlolongo huo ndio maana wajumbe wote wa kamati kuu walijihudhuru ili kuwaingiza walengwa kwenye mkumbo huo na hapo baadaye wao warejeshwe.
Mtetezi mkuu wa Lowassa confirmation gani unataka habari ndiyo hiyo.Mmmhh we are waiting for comfirmation.
Jk anaenda barabara ya8 kumtembelea mzee mkongwe wa chama iko Mzee OMARY SULEIMANI.wacha uwongo nec haijavunjwa kwahiyo hawachagui wajumbe wa nec.
Sina tatizo na mchango wako ila una tatizo la kuweka H sehemu ambayo haitakiwi.Hii inapelekea wasomaji kuudharau mchango wako hata kama ni mzuri.May be umesoma english media tangu chekechea hivyo nakushauri utumie kiingereza zaidi na kiswahili utuachie sisi tuliosoma st.kayumbaz