mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Ingeonekana ina manufaa zaidi kwa nchi kama sio chama hata Mwenyekiti wa Chama angejiuzulu. Haiingii akilini kubadilisha utingo na dereva msaidizi wakati dereva mwenyewe anaendesha gari hajui kushika uskani sawasawa.
Kwa maana nyingine, nawasikitikia wanaCCM kwani wamepigwa Changa la macho na wala JK hajategwa bali amewapumbaza wanachama wake.
BORA ANG'ATUKE AACHIE WENGINE WASHIKE USKANI. Hata baba wa Taifa baada ya kuona mambo yanamwendea kombo alisema "NANG"ATUKA"
Kwa maana nyingine, nawasikitikia wanaCCM kwani wamepigwa Changa la macho na wala JK hajategwa bali amewapumbaza wanachama wake.
BORA ANG'ATUKE AACHIE WENGINE WASHIKE USKANI. Hata baba wa Taifa baada ya kuona mambo yanamwendea kombo alisema "NANG"ATUKA"