maneno mazito sana hayo hapo juu.......asante Mkuu
maneno mazito sana hayo hapo juu.......asante Mkuu
Sasa hizi cosmetic changes unafikiri zitasaidia vipi kuondoa msururu wa meli zilizojazana kule Oyster bay beach?
CC kubadilishwa kutasaidia vipi kuondoa longo longo la TRA na unfair taxation ?
CCM kuchagua mwenyekiti mpaya kutasaidia vipi wanafunzi kupata madawati kwa wanfunzi?
kila mwaka these lot wanafanya cosmetic changes zao na hakuna kinachobadilika zaidi ya headlines to make us look stupid
In short wanasiasa wana tucost and these guys kupeana kula wont change a thing trust me
I don't believe in god...so whatever!
EL was getting things DONE.... Mnataka viongozi wasio na MENO?, EL tayari ana hela kaiba au hakuiba haijalishi...ataingia kuchapa kazi ndo alichobakisha.
!
Nyeusi. yes, lots of things, AICC, Richmond/Dowans... lakini kwa maslahi ya nani?
Nyekundu Meno ya Lowasa yanang'ata na kurarua watanzania, tutaishi nae vipi huyu? Anahitaji karantini.
Bluu Do you expect bloodsucking vampire to declare that he has had enough of blood?
Gimme a break!
Utabiri wangu hatimaye unakaribia kukamilika. Nilieleza bayana kwamba mwenendo wa Bw. Mukama ulinifanya nihisi kuwa anaandaliwa kuwa General Secretary wa CCM. Ukweli ni kwamba huyu bwana ni msomi na analytical. Binafsi namwona ana matatizo makubwa mawili. Kwanza ni king'ang'anizi. Akiamua yeye anataka kitekelezwe bila kujali mawazo kinzani ya wenzie. Ana maamuzi ya kiimla. Pili, bado hajatambua role kubwa ya vijana katika kuendesha chama. Ni mwenye mtazamo kwamba wazee ndiyo wanaopaswa kushika usukani na vijana wanakaa pembeni huku wakijifunza kwa wazee. Haamini mtazamo kinzania ambo ni vijana ndiyo wanaopaswa kushika usukani na wazee pembeni huku wakitoa ushauri unaotokana na uzoefu wao.
Huyo Mukama ni mropokaji Makamba sifuri.Mukama siyo msomaji, hajengi hoja bali huongea kwa jazba kulazimisha anachotaka, hashauriki. Hata celina ana akili kuliko. Nyie subirini aanze kuparamia katiba mpya muone
Katika kile kilichoitwa kujivua gamba imekua ngumu Nnape ataweza na je meghji atatunza pesa kina sio muadilifu hata kidogo je ni gamba gani hilo la kuvuliwa