rajgeneral
Member
- Jan 16, 2019
- 44
- 57
Hawa jamaa noma eti mtu anakulazimisha uwe tajiri, huu wema haupo kwenye binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Good morning young billionaire ahahahhahaha washenzi saaaana!! Mpaka saaa NNE usiku ni good morning
Kwel kabisa ndugu, huu wema hata mm sijawahi ona, mtu unalazimishwa utajiri kwa nguvu kiasi kile haijatokea kwa uso wa dunia.Hawa jamaa noma eti mtu anakulazimisha uwe tajiri, huu wema haupo kwenye binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah we acha tu mkuuDada yako kishapigwa ,mpe hai GOOD MORNING!!!!!
Naona sasa hivi anahangaika kutafuta wajinga wenzake wawili.
Mimi nashukuru mtego niliuruka na naishukuru sana JF na sources nyingine kutoka google.Jamaa yangu aliyenipeleka kapigwa hela yake yote aliyoipata ktk internship,alikuwa na stress sasa hivi ndio amepata ajira ya kudumu.
Wale jamaa wa Qnet ukiwaona na maisha yao ya kuigiza,stori za kutunga,magari ya kuazima na yale mahesabu yao wanayokupigia,unaona baada ya miaka mitatu unampita MO.
mpe pole GOOOOOOD MOOOOORNING,alafu wana kusalimia hivyo saa saba mchana wale jamaa vichwa vyao sio vizima.
Wakuu Rythm Foundation mnawajua??????eti Mimi Ni diver ,Ila wakuu nyie acheni tu wallah
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
AllianceAlliance Global in motion?
Duuuh!!!