Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

kweli hizi ni nyakati za mwisho anayetujalia pumzi na uzima anatufanya binadamu kuwa kiumbe chenye akili na uwezo wa kufikiri kuliko wengine leo tunaanza kumuuliza maswali uku akili tuliyonayo ni kasehemu tu alitupatia kama umekosa majibu ndipo tuelewe yupo anae fikili zaidi yetu uyo unae uliza maswali kuhusu yeye God is love
 
kwanza shetani akuumbwa kuwa shetani hilo ujue ujio wa jina shetani ni baada ya yeye kumuhasi Mungu shetani kabla ya kushushwa na kuwa shetani alikuwa kiumbe mzuri sana mbele za Mungu kutokana na maandiko yanamzungumzia hapo mwanzo alikuwa Malaika wa sifa unaambiwa hapakuwa na malaika mwingine mwenye hicho kipawa lkn kama vile ilivyo kwa binadamu wa leo ukifanikiwa unajaa sifa na kumkufuru muumba wako ndicho kilichotokea kwa shetani baada ya kujaa sifa na kuona anauwezo hata wa kumzidi Mungu ndio kafanya mpango wa kumuasi Mungu ashukuriwe Mungu yeye huzitambua nia zetu kabla ya sisi kuzitenda ndipo akamshusha kuzimu.
Well said kijana...
Sasa ni hiviii, mimi naamin Mungu hutambua nia ya nafsi ya kila mtu, hutambua mwanzo na mwisho wa kila kitu, hutambua yote yatakayotokea on the future...(nadhan hio kitu umenielewa)
Swali: ilikuaje alimuumba huyu malaika ilihali alijua kuwa atamsalitia na atakua kikwazo katika utawala wa Mungu, je alikua anabahatisha, au hilo hakulijua ?
2.baada ya kuasi kwa nn asingemfutilia mbali ili mradi aondoe makwazo katika utawala wake mtukufu??
 
Kwahiyo wewe unaona Mungu ni Wawakristo tu?

Maana 100% ya hoja zako umetumia doctrine za kikristo,nusu ya dunia iliyobaki ambayo haijawahi kusikia ukristo ni takataka?

Kwanini usijenge hoja zako kwa kutoku-base kwenye particular DINI?

Wana Wasraeli ni wanadamu kama walivyo Wakwere au Wamang'ati au Wamakonde,kwanini huyo Mungu wako wewe anajidhihirisha kwa hao tu?Huu ni ubaguzi.

Hebu tujibie hoja zetu hapa bila kutumia bias ya dini yako
ww unadhani ni kila dini inampendeza Mungu, au ni kila ibada inamfurahisha Mungu?
 
Tatizo hata huku kwetu nako tunanyosheana vidole.kila mtu anasema kwangu ndio njia nyembamba iendayo Mbinguni matokeo yake mpaka sasa ukristo tu una njia nyembamba kama elfu 20.
ww unadhani kila dini inapendeza Mungu?
 
Wanasema
Mungu anatupenda sana kwa moyo wote but km kweli anatupenda kwann kamleta shetan??

Wanasema pia mungu n powerful kuliko kitu chochote....ila pamoja na nguvu zake kashindwa mwondosha shetan na bado wanasema anaupendo

Vilivile wanasema ana huruma..hv kama ana huruma ,upendo na nguvu..katuletea shetan wanini??

Inatia wacwac kwakweli

Mm nasema kama mungu hapenzwi kwa jinsi navyo ishi yeye ndio aje kuniambia mm sio hawa waarabu na wazungu.na vitabu vyao vya kusadikika hata siwaelewi
yaaan utamsubiri Mungu aje mpaka maana huku duniani anawajumbe wake na ndio hao wanao kuhubiria haria zake njema
 
Well said kijana...
Sasa ni hiviii, mimi naamin Mungu hutambua nia ya nafsi ya kila mtu, hutambua mwanzo na mwisho wa kila kitu, hutambua yote yatakayotokea on the future...(nadhan hio kitu umenielewa)
Swali: ilikuaje alimuumba huyu malaika ilihali alijua kuwa atamsalitia na atakua kikwazo katika utawala wa Mungu, je alikua anabahatisha, au hilo hakulijua ?
2.baada ya kuasi kwa nn asingemfutilia mbali ili mradi aondoe makwazo katika utawala wake mtukufu??
swali la kwanza Mungu hakumuumba shetani au hakuumba kitu chochote kile ili kije kimsalti au kuwa kikwazo kwake kila kilichoubwa na Mungu ni kwa makusudi na kwa mapenzi mema ya Mungu ila tu kile kilichoubwa ndicho huja kumkosea Mungu kwa sababu ya tamaa
2.kaka yangu siku zote Mungu si mwanadamu na huwa hafanyi mambo kama sisi tunavywaza mm nafikiri kwa kitendo alichofanya shetani kwa Mungu ingekuta ni wewe ulifanyiwa mm nafikiri ungeshammeza huyo shetani kama sio kumua ila Mungu alimtupa kuzimu ikiwa anajua kwa lile kosa alilolifanya wapo watakao muasi Mungu tena na wataambatana na shetani mpaka kuisubiri siku ya hukumu sasa basi Mungu atasimama kwa wale watakaotendaa yale yanayompendeza yeye na shetani atasimama kwa yale yanayomchukiza Mungu
 
Mkuu unaishi mkoa gani nikuelekeze sehemu utakapojibiwa haya maswali yako yaliyo mepesi?Kwa kuandika mni ngumu sana kuelezea vitu.Kama nilivyosema tatizo lako ni aidha umesoma sehemu tu ya biblia na inawezekana umekuwa ukiisoma kutafuta vitu vya kukosoa na hivyo ukajifunga ufahamu wako.
Wewe pia hujui kama roho inaweza chukua sura ya kitu chochote?Yesu alivyokuwa anabatizwa na Yohana Roho wa Bwana alishuka juu yake kama mfano wa hua(njiwa) hii haimanishi Mungu ni njiwa.
Kuna sahemu kwenye biblia inasema
upepo ukavuma mara ya kwanza ,lakini Bwana hakuwemo
upepo ukavuma mara ya pili lakini Bwana hakuwemo
Upepo ulipovuma mara ya tatu Bwana alikuwa katika upepo ule,hii haimanishi Mungu ni upepo.
Mkuu hujui hata roho ya wachawi inaweza kuja kama panya au paka au mbwa?Bado elimu yako ni ndogo haya maswali watu watachoka kukujib u ,ushauri wangu nenda sehmu jifunze si lazima uamini wanachoamini kaa hapo jifunze neno la Mungu lakini hivi unavyotaka ujue huku moyo wako haujafunguka una mambo kibao utapotea.

Roho ya mwanadamu inakaa ndani ya mwili,Roho wa Mungu anaweza kaa ndani ya kitu ambacho Mungu ataamua ikae kwa wakati ule.Mussa aliambiwa aende kwa farao,Musa akamwuliza Mungu farao akiniuliza wewe ni nani nimwambieje.
Mungu akamwambia "Mini ni niko ambaye niko" in English " I am that I am".Nifuate kwa umakini hapa Mungu alivyosema "I am that I am" alimanisha anaweza akawa katika form yeyote atakayotaka yeye kwa wakati ule.Soma maandiko ndugu,kama website yangu ikiwa tayari kwa ajiri ya kuwaamusha mlio lala utajulishwa.
ubarikiwe mpendwaa
 
kama Mungu alijidhihilisha kwa watu wake basi wapo waliomwona Mungu.. na hapo lile neno la biblia la hakuna aliyewahi kumwona Mungu linakua batili.
kila mtu huwa anamuona Mungu sasa inategemea mtu alimuona vipi mm nikiuwa nikapona hapo nimemuona Mungu au umeepushwa na ajali mbaya hapo pia umemuona Mungu so kumuona Mungu kupo sana tu kila mtu humuona Mungu kwa namana ya tofauti katika maisha yake
 
kila mtu huwa anamuona Mungu sasa inategemea mtu alimuona vipi mm nikiuwa nikapona hapo nimemuona Mungu au umeepushwa na ajali mbaya hapo pia umemuona Mungu so kumuona Mungu kupo sana tu kila mtu humuona Mungu kwa namana ya tofauti katika maisha yake
sijakataa, ila kama umefuatilia vizuri nilikua nazungumzia ile ishu ya kuonana na Mungu ana kwa ana.. pia mtu akisema amemuona Mungu hamaanishi ana kwa ana ila ameuona uwezo wake.
 
Halaf kwani tulimuomba atuumbe?
hhahahhaahhhahahh!!!! sio kwamba kinachekesha laaaah hasha ni vile tu ulivyoshindwa kujiongeza uliwahi kumuomba mama yako akuzae?mbona kakuzaa?? ndivyo ilivyo na Mungu pia kakuumba na hukumuomba yaan alipenda na wala hamlazimishi mtu kumfuata
 
Je umewahi kujiuliza ni kwa nini mwanamume na mwanamke mweusi huzaa mtu mweupe (albino) lakini mwanamke mweupe na mwanamume yaani kwa mfano mzungu kwa mzungu hawazai albino mweusi? Lakini pia albino kwa albino bado wanazaa mtu mweusi?
We jamaa unashida
 
swali la kwanza Mungu hakumuumba shetani au hakuumba kitu chochote kile ili kije kimsalti au kuwa kikwazo kwake kila kilichoubwa na Mungu ni kwa makusudi na kwa mapenzi mema ya Mungu ila tu kile kilichoubwa ndicho huja kumkosea Mungu kwa sababu ya tamaa
2.kaka yangu siku zote Mungu si mwanadamu na huwa hafanyi mambo kama sisi tunavywaza mm nafikiri kwa kitendo alichofanya shetani kwa Mungu ingekuta ni wewe ulifanyiwa mm nafikiri ungeshammeza huyo shetani kama sio kumua ila Mungu alimtupa kuzimu ikiwa anajua kwa lile kosa alilolifanya wapo watakao muasi Mungu tena na wataambatana na shetani mpaka kuisubiri siku ya hukumu sasa basi Mungu atasimama kwa wale watakaotendaa yale yanayompendeza yeye na shetani atasimama kwa yale yanayomchukiza Mungu
Nakuelewa kabisa kila point unayoandika ney kaaya,
Swali langu umelikimbia.: labda ni hivi nitolee mfano kwako, je unaweza ukatengeneza kitu ambacho unajua kabisa kitakudhuru (100% unajua sio kizuri na kitaleta mabalaa makubwa kwako)..
 
Back
Top Bottom