Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kwa hiyo mkuu hapo unajiona umemaliza yaani umeshinda.Fikiria hii wewe ukiongea ana kwa ana na kipofu je hiyo ni uso kwa uso au si uso kwa uso?Jibu swali langu la msingi.
hio ni uso kwa uso, coz kipofu hata asiponiona ana uwezo wa kushika paji la uso na kufeel uso wangu..
 
Kwa
hio ni uso kwa uso, coz kipofu hata asiponiona ana uwezo wa kushika paji la uso na kufeel uso wangu..
hiyo swali lako la kuhusu Musa na Mungu limejibika automatically,biblia inasema "hakuna aliyewahi kuuona uso wa Mungu na akaishi" that is why Musa aliongea naye ana kwa ana Mungu angeruhusu Mussa aone uso wake Mussa ange rest in peace immediately.Mkuu ushauri wangu kwako hata kama your no a christian soma biblia baadhi ya maswali utajibiwa.Hii watu wanakuja na ka swali kamoja sometimes hatujibu si kwa sababu hatuna majibu bali tunaona huyu mtu anahitaji mafunzo sana na hata ukimjibu kwa kuandika hapa utaandika gazeti matokeo yake watu watakuomba summary.
 
Huyu mtu aliyeandika haya mambo atakua hajasoma maandiko matakatifu akayaelewa pia it seems jamaa ako na stress mingi mingi za life ameandika mambo ambayo iko very shallow
 
Kwa

hiyo swali lako la kuhusu Musa na Mungu limejibika automatically,biblia inasema "hakuna aliyewahi kuuona uso wa Mungu na akaishi" that is why Musa aliongea naye ana kwa ana Mungu angeruhusu Mussa aone uso wake Mussa ange rest in peace immediately.Mkuu ushauri wangu kwako hata kama your no a christian soma biblia baadhi ya maswali utajibiwa.Hii watu wanakuja na ka swali kamoja sometimes hatujibu si kwa sababu hatuna majibu bali tunaona huyu mtu anahitaji mafunzo sana na hata ukimjibu kwa kuandika hapa utaandika gazeti matokeo yake watu watakuomba summary.
Lengo sio mimi au mtu yeyote humu kuibuka mshindi, tunahojiana tu mkuu.

ni hivi, naijua biblia vyema.. kwenye biblia kuna sehemu nyingi zinajicontradict, soma vizuri.. ila tafsiri ya ana kwa ana ndo hiyo... halafu pia wakristo wanasema Yesu ni Mungu, ila watu si wamewahi kumwona Yesu? inakuaje tena lile andiko linalosema hakuna aliyewahi kumwona Mungu angali Yesu ni Mungu?
 
Alikuwa anaona mgongo apana atakaye uona uso wa mungu akaishi
hii kali.. kwa hiyo Mungu na Musa walikua wanageuziana migongo, na hili andiko la ana kwa ana tulitupe kule? maana hio sio ana kwa ana tena ni mugongo mugongo!!!
 
Najibu swali lako namba tatu ikumbukwe kipindi cha nuhu ni nuhu tuu ndiye alipata kibali machoni pa mungu wale jamaa zake awaku stahili kuwepo ila walipata neema hiyo kwa ngongo wa nuhu ile ilikuwa hasira ya mungu kwa ulimwengu na alipo fanya hivyo akaweka nadhiri kuwa ata iangamiza tena ulimwengu mfano mwengine ibrahim aliweza kumuokoa ruthu na familia yake siyo kwamba rutu alikuwa mwema bali tuu alibebwa na maombi ya ndugu yake ibrahim so jua ata leo unaweza fanikiwa kupitia maombi ya jamaa zako nawe ukawa ni mtenda dhambi nadhani nime eleweka
 
Hahahaha hapo mungu alitaka kuonesha yeye ni mkuu siyo kama mimi na wewe binadamu wenye kufa kwangu mimi naona mungu alijidhirisha kwa watu wake akujificha kama ulivyo sema ww kuwa ajawahi kuonekana nadhani nime eleweka mkuu
 
kama Mungu alijidhihilisha kwa watu wake basi wapo waliomwona Mungu.. na hapo lile neno la biblia la hakuna aliyewahi kumwona Mungu linakua batili.
 
Lengo sio mimi au mtu yeyote humu kuibuka mshindi, tunahojiana tu mkuu.

ni hivi, naijua biblia vyema.. kwenye biblia kuna sehemu nyingi zinajicontradict, soma vizuri.. ila tafsiri ya ana kwa ana ndo hiyo... halafu pia wakristo wanasema Yesu ni Mungu, ila watu si wamewahi kumwona Yesu? inakuaje tena lile andiko linalosema hakuna aliyewahi kumwona Mungu angali Yesu ni Mungu?
Mkuu ndiyo maana nikasema kuna muda hatuwajibu si kwa sababu hatuna majibu bali tunaona hamjui vitu vingi,ni kweli Yesu ni Mungu aliyekuja katika hali ya mwanadamu,ndityo maana jina la Emmanuel ni Mungu pamoja nasi yaani Mungu anaishi pamoja na wanadamu.Hii ilikuwa kipindi kile Yesu akiwa duniani kwa sasa Yesu haishi pamoja na wanadamu bali anaishi ndani ya wanadamu .Kabla Yesu hajaondoka aliwaambia wanafunzi wake sitawaachaa yatima nitawaletea msaidizi amabaye ni roho mtakatifu.Roho mtakatibu ni Mungu kamili,Mungu ni mmoja ana nafsi tatu Baba,mwana na roho matakatifu.
Pia Yesu mwenyewe alisema mtu akimpokea yeye na Baba watakuja kukaa ndani yake,issue ya nafsi za Mungu inaonekana sana katika utendaji wa kazi lakini ni Mungu mmoja.Ndiyo maana Yesu na pia Roho matakatifu wanaabudiwa kwa sababu ni Mungu kamili.Katika agano la kale Mungu Baba ndiye alionekana zaidi,wala Yesu na Roho mtakatifu hawakuonekana sana si kwamba hawakuwepo,baada ya Yesu kuzaliwa ,kipindi cha agano jipya Yesu alionekana zaidi akitenda kazi na wanadamu akiwa anamwomba Baba kwani yeye na baba ni kitu kimoja kama ambavyo aliwaombea wanafunzi wake wawe na umoja kama yeye na baba walivy wamoja.
Baada ya Yesu kuondoka akaja roho mtakatifu(hapa wachanga hupotoshwa kwamba aliyemtaja Yesu kuwa atakuja ni .....),kwa sasa christians wanatakiwa wawe wamejazwa roho mtakatifu kama ilivykuwa siku ya Pentecoste.
Mkuu sipendi kuandika gazeti,wewe unachohitaji ni mafunzo ya awali nenda utafundishwa na maswali yako utajibiwa.Hakuna contradiction kwenye bibile ni uelewa wetu tu ndiyo unatufanya tuone kuna contradiction.
Ni kweli hakuna mtu aliyeuona uso wa Mungu akaishi lakini unasahau Mungu ni roho na Yesu hakuja katika hali ya Roho bali alizaliwa kama mwanadamu that is why hata wengine walisema huyu si ni mtoto wa yule selemala Yusufu.Kwa hiyo hoja yako haina nguvu Yesu alikuja kama Mungu katika hali ya mwanadamu,alisikia njaa kama mwanadamu na maumivu kama mwanadamu,wapotoshaji husema kama ni Mungu kwa nini aliomba kikombe hicho kimwepuke.Next question please.
 
  • Thanks
Reactions: k29
Mungu hajawahi kuwa na makosa akili za binadamu haziwez kufikia akili ya Mungu .

naona nyuz nying za kumfanya Mungu ni inferior zipo nying ila kumbuka kuna mungu ambaye we ndo mfuas wa akil za binadam

Kwann binadam awe na makosa wakati ameubwa kwa mfano Wa mungu
 
kwa mfano hivi leo ukija labda benki kuiba then usoni uka vaa maski mimi niluwepo kwenye ilo tukio nika uona mwili wako wote ila sura yako sija iona nikisema nilikuona wewe itakuoa ni uongo au ukweli?
 
hapo uliposema Yesu ni Mungu tupaweke pending mpaka tukimaliza hili...

umesema hakuna aliyewahi kuuona uso wa Mungu, then ukasema Mungu ni roho, as if umemaanisha roho haina sura..
sasa kama roho haina sura inakuaje tena Mungu anao uso angali Mungu ni roho?
na kulikua na maana gani kuandika kwenye biblia hakuna aliewahi kuuona uso wa Mungu wakati wanajua Mungu ni roho na roho haina uso?
 
kwa mfano hivi leo ukija labda benki kuiba then usoni uka vaa maski mimi niluwepo kwenye ilo tukio nika uona mwili wako wote ila sura yako sija iona nikisema nilikuona wewe itakuoa ni uongo au ukweli?
umejuaje kama ndio mimi wakati huyo mtu alivaa mask? utakua unansingizia
 
Umetoa majibu mazuri sana, ila yapo OP na hoja zangu...mf. kwenye zab. 14:1 inasema ''******** anasema moyoni mwake hakuna Mungu, matendo yao ni maovu kabisa, hakuna atendaye mema'' Je kunasehemu niliyosema hakuna Mungu??? kama ipo onesha.,,,,Ayubu 1:22 wewe jua kunatofauti kati ya kulaumu na kuuliza, mimi sijalaumu bali nimeuliza, ndio maana niliweka alama za kuuliza. Mathayo 12:36, kwani maswali yangu hayana maana??? mbona Yesu aliulizwa maswali na kujibu??
Makosa ya Mungu sio 10 bali ni 11 na kubwa zaidi ambalo huja li mention, ni pamoja na kukuumba wewe, kisha kukupa free will, lakini ukaitumia kumkosoa yeye, ku-,doubt his ability, ku-undermines his forbearence na ku-question Gods'intention.
The title ya Uzi wako, has said it all.
 
Back
Top Bottom