Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Dhambi zetu ndiyo chanzo cha laana zote sasa Mwenyezi Mungu kosa lake lipi? Wamlaumu kwa makosa ya wenye viburi na tamaa zisizosikia sheria!

Suala la imani ya uwepo wa Mungu/Miungu linahusiana sana na upungufu wa maarifa kwa binadamu juu ya maisha na kila kilichopo duniani. Pale ambapo binadamu maarifa yalimpungukia na akakosa majibu ya baadhi ya mambo aliamini kuwa kuna kitu mahali kinaweza kuwa na majibu. Zaman hata kupatwa kwa jua au mwezi kulihusishwa na Mungu kwa kuwa hakukuwa na maelezo kutokana na maarifa kuwa finyu. Kadri maarifa na ujuzi unavyopanuka suala hili linapungua nguvu. Maana saiz watu hata wana uwezo wa kufahamu Jua (kama mojawapo ya nyota ndogo tu ndani ya Milky way galaxy) linatoa wapi mwanga na joto lake na kwamba nuclear fusion hiyo inaweza kukoma lini, n.k. Na mifano ya kutengeneza nuclear fusion kama inayotokea juani imeshaonekana hapa duniani bila suala la Mungu au likiumbe likubwa linalokaa sehemu flani kuhusika. Kwahiyo mtoa mada amekuwa mwanafalsafa kiasi ingawa baadhi walioamini na hawapendi kuhoji (kama wewe) watamshambulia.
 
Dhambi zetu ndiyo chanzo cha laana zote sasa Mwenyezi Mungu kosa lake lipi? Wamlaumu kwa makosa ya wenye viburi na tamaa zisizosikia sheria!

Suala la imani ya uwepo wa Mungu/Miungu linahusiana sana na upungufu wa maarifa kwa binadamu juu ya maisha na kila kilichopo duniani. Pale ambapo binadamu maarifa yalimpungukia na akakosa majibu ya baadhi ya mambo aliamini kuwa kuna kitu mahali kinaweza kuwa na majibu. Zaman hata kupatwa kwa jua au mwezi kulihusishwa na Mungu kwa kuwa hakukuwa na maelezo kutokana na maarifa kuwa finyu. Kadri maarifa na ujuzi unavyopanuka suala hili linapungua nguvu. Maana saiz watu hata wana uwezo wa kufahamu Jua (kama mojawapo ya nyota ndogo tu ndani ya Milky way galaxy) linatoa wapi mwanga na joto lake na kwamba nuclear fusion hiyo inaweza kukoma lini, n.k. Na mifano ya kutengeneza nuclear fusion kama inayotokea juani imeshaonekana hapa duniani bila suala la Mungu au likiumbe likubwa linalokaa sehemu flani kuhusika. Kwahiyo mtoa mada amekuwa mwanafalsafa kiasi ingawa baadhi walioamini na hawapendi kuhoji (kama wewe) watamshambulia.
Mkuu umesema vyema kabisa...mtu anapopatwa na shida au kukumbana na jambo la kumchanganya, huingiwa na hofu na kuanza kutafuta majibu kokote, iwe kwenye nyumba za ibada au kwa waganga. Akikosa majibu husema ni kazi ya Mungu...kaangalie ile filamu ya God must be crazy...bushman anaokota chupa ya cocacola then anasema Mungu kaidondosha, simply bcoz hajawahi kuiona.
 
Mungu ni Hadithi ya kufikirika haina uhalisia na kadri binadamu anavyojitambua basi hupuuza mambo Ya Mungu mana hadithi zake hazina tija wala hazimuingii akilini mtu wa karne hii ambae kapata elimu
 
Nimeona Thread inayojaribu kuonyesha makosa kumi ya Mungu ndo maaana nikachukua hatua Yakinifu kuandika haya..Kwanza Kabisa na Ifaamike Mungu anajua yote na Kazi Yake kamwe haina makosa,ebu Tuanze
(whats a Mistake)? a wrong way of doing something,misguided action,inaccuracy!!!!!!!!
=>Kusema Mungu ana makosa ni sawa na kusema hajakamilika(perfection) Kwaio hana tofauti na sisi Jambo ambalo ni kosa,Lucifer Alitenda Hivi Hivi

1.KUMUUMBA SHETANI
Mungu hakumuumba shetani alimuumba Lucifer ambae alingiwa na wivu due to the status quo of Jesus akataka awe Miongoni mwa utatu mtakatifu eventually ule wivu ukasababisha atende dhambi unayoifanya ya kumkosoa Mungu(Imperfection)

2.KUISHI MAFICHONI
Mungu Hajifichi,dhambi zetu ndo zinathfarakanisha na yeye maana hawezi kukaa na sisi hakika tutakufa awali kulingana na Biblia mbona alikua akihukutana na Adam wakaongea sema tatizo ni pale alipotenda dhambi,Israel walitaka kumuona ILA kabla hajafika walighairi wakasema hawataki tena

3.MAFURIKO
Aim ya mafuriko ni kupunguza maasi na Age generally,sio kuondoa dhambi kabisa maana watu wangeendelea na nyendo zao Mungu alisahaulika kabsa lakini kutokana na UPENDO wake akaamua kuchukua hatua hio baada ya warning ya miaka karibia 500 kweli hata kama wee ni kiazi miaka yote hii
elewi concept tu???

4.SAFARI YA WANA WA ISRAEL
Lord promised abraham kuwa atampa nchi specifically ya CANAAN sio popote tu that was the Point kutimiza ahadi sio Ilimradi nchi tu na nyakati zile struggle Ili kusurvive Ilkua ni suala la kawaida ndo maana hata Israel walipokua wanazingua walichezea mkong'oto tuuu!

5.AHADI YA ABRAHAM
Ivii unajua dunia ina miaka mingapi???mimi mwenyewe sina uhakika lakini uzao wa abraham compared to na Generation ya awali uliongezeka japo hukufikia nyota za angani maana israel walikua wagumu mioyoni kwa sababu Mungu sio dictator hakulazimisha

6.ALLERGY 7.MUTATIONS NA 8.NATURAL CALAMITIES
Hivi vyote ni side effects za dhambi duniani,mwanzoni maisha yalikua Bomba vitabu vingine mpka vinasema adam alipoona Kondoo anakuja na kutoka damu walipokua wanatengenezema mavazi alilia sana,hakuamini kilichotokea maana alikua hajawahi ona alafu Mungu alilaani ardhi na dunia Generally ndo maana haya yote yanatokea,vingine sisi ndio chanzo kutokana na vitu kma ukuaji wa sayansi ya technolojia

10.JEHANAMU
Lengo la Moto sio kukomesha watu na sio kwamba God enjoys this kuprove hapendi ndo maana akamtuma mwanae hata kama tulishakataa mara nyingi,moto una lengo la KUTOKOMEZA DHAMBI Ili dunia ibaki salama tukutane na Mungu kma Ilivyokua awali.Na ingeweza kuwa njia nyingine sio lazima moto lakini akachagua njia hii na kuchomwa sio lazima ni Option making it more Fairer sijui binadamu upewe nini uweze kuona Haya.
 
Magu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!

Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!

Mbona unatisha watu namna hii?

Wewe nani kakwambia hii ni dhihaka?Kaweka hoja mezani,jibu kwa hoja,tuache kutishia watu hivyo,mungu hana roho mbaya za kuua watu kama unavyotaka.
 
Naamini kwa kufuru hizi Chamiton unahitaji kutubu kwa Mungu ama sivyo siku zako si nyingi hautakuwepo duniani ,naapa kwa Mungu kwa jina la Yesu kwa hili umekosa kitu cha kudhihaki.
Maneno ya mkosaji hayo. Kwanini ulete vitisho badala ya hoja? Au ndio kukubali kwamba huyu mungu ni mshindwa
 
Naamini kwa kufuru hizi Chamiton unahitaji kutubu kwa Mungu ama sivyo siku zako si nyingi hautakuwepo duniani ,naapa kwa Mungu kwa jina la Yesu kwa hili umekosa kitu cha kudhihaki.
Jamaa yeye kauliza maswali tu na anataka ajibiwe ili imani yake izidi kuimarika zaidi.
Sasa nashangaa unamtisha huku ukisema kakufuru wakati yeye kauliza maswali.

Embu mjibu hayo maswali aliyouliza kwa ufasaha ili upate kumsaidia kujenga imani yake izidi kuimarika maradufu
 
Kuuliza si dhambi wala kufdhihaki. Jamaa amehitaji kuelemishwa juu ya elimu ya kiungu. Haya mambo ni taaluma kabisa. Wana theolojia watakuwa na majibu yakinifu kwako.

Pole sana kwa waliokusakama kuwa hutuhusiwi kuhoji. Mungu huangalia nia yako. Umehoji kutaka kuelimishwa hivyo ulihitaji kuelimishwa na sio kuhukumiwa kama umetenda dhihaka kwa Mungu.
 
Hamna sense hapo lete mada nyingine hiyo noooooooooo! Tatizo hijui biblia umegusa gusa vitu kidogo bila kutafuta majibu You know nothing.
Hakuna anayeijua biblia, tunajifunza kila kukicha.

Kuhoji sio dhambi, anahitaji kuelimishwa na ambacho angepata ni elimu. Kama unajua hiyo biblia kwa nini usimwelimishe?

Kuna mambo ambayo hata uijue biblia VIP huwezi yatolea majibu. Kuna mambo mengine unatakiwa kuyaangalia kwa jicho la kitheolojia zaidi. Na la huyu Jamaa ni la kitheolojia zaidi na wanatheolojia wanamajibu yote.
 
Wanasema
Mungu anatupenda sana kwa moyo wote but km kweli anatupenda kwann kamleta shetan??

Wanasema pia mungu n powerful kuliko kitu chochote....ila pamoja na nguvu zake kashindwa mwondosha shetan na bado wanasema anaupendo

Vilivile wanasema ana huruma..hv kama ana huruma ,upendo na nguvu..katuletea shetan wanini??

Inatia wacwac kwakweli

Mm nasema kama mungu hapenzwi kwa jinsi navyo ishi yeye ndio aje kuniambia mm sio hawa waarabu na wazungu.na vitabu vyao vya kusadikika hata siwaelewi
Mungu anatupenda na ndio maana ametupa utashi wa kutambua baya na jema, amekupa uwezo wa kuchagua kipi chema kwako na kipi si chema.
 
Kushiba ni kubaya sana!!!......Wewe kijana unamdhihaki Mungu kisa unakula na kushiba vizuri na una afya njema ya kuingia kwenye mitandao ya kijamii????
Kuuliza si ujinga ni kutaka kujua. Kuna wenye elimu ya theolojia na Sana elimu ya haya mambo na wanaweza kumjibu vyema. Kama huna majibu usikimbilie kuchukua nafasi ya Mungu kuhukumu kuwa anamdhihaki Mungu
 
Mbona unaimba Ngonjera? Kwaiyo walio na kansa, wanaojinyea na walioko mahospitali ndio tuseme kuna mungu muweza au mungu dhaifu?
Wewe kijana unaabudu uoga!

Narudia tena kwamba hakuwezekani kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, muweza wa yote, muumbaji wa vyote.
Kama atakuwepo mungu wa hivo atakuwa sio mungu bali ni mshindwa wa mwisho.

Fikiri kijana acha kukalia akili zako

HAKUWEZEKANI KUWE NA MUNGU MSHENZI NAMNA HIYO.
Watu wanateseka hovyo, watu wanakufa, watu wanadhulumiana, watu wanaibiana, watu wanateseka na njaa hadi kufa alafu uje uniambie kuna mshenzi kajikalia eti ndio aliyeumba vyote na anaweza yote na ana upendo.
Huo utakuwa ni ulimbukeni wa Mungu
Hapa huenda ukawa na hoja na kwa sababu umefikiia mawazo haya baada ya kuwaza, kufikiri na kutafakari, ni wazi ukiendelea kufanya hivyo uaweza kufikia mawazo makubwa zaidi.
Tumekuwa na ujinga wa kupindukia na kutokupenda kufikiri na ndio maana wengi tumeishia kumjua 'Mungu' tusiyemwelewa huku kigezo kikubwa cha kumjua ikiwa ni kupiga makelele na kuua watu vitu ambavyo hata Hao waliomtambulisha huyo 'Mungu' walitutahadharisha navyo. Hii nukuu inaweza kukupa mwanzo mzuri wa kufikiri na baada ya hapo tuendelee kuelimishana kwa kadiri uelewa wetu ulivyo.
jn lnn.png
 
USIMDHIHAKI MUNGU HATA KIDOGO, huwezi kufanya conclusion ya kuwa hakuna Mungu kwa kufanya reference ya kitabu kimoja cha DINI, wakati duniani Kuna DINI nyingi sana, UISLAM, BAHAYI, HINDI, nk na bado huwezi kusema Mungu hayupo wakati kunasayari nyingi sana ULIMWENGUNI,vipi kuhusu viumbe wanaoishi sayari nyingine wanamuabudu Nani ? Inamaana wewe unaakili nyingi sana kuliko watu wote wanaomuabudu MUNGU ALIYE HAI, TANZANIA, AFRICA, DUNIANI na SAYARI ZINGINE. Embu achana na hii habari ya MUNGU BABA, ongea kitu kingine.
Suala la Mungu halina dini. Jamaa amehitaji kuoewa elimu. Ni vyema akaelimishwa, kutokuwa na majibu kwako kusikufanye kuchukuwa nafasi ya Mungu kuhukumu kuwa anadhihakiwa. Muachie mungu nafasi yake . Mwanzilishi wa thread ajibiwe tusirahisishe. Wanatheolojia watujibu coz wana majibu kama huna unapotezea tu
 
Kuna watu mungu atawakataa hata shetani Ata wakataa ur the one
TO THE RIGHT WING OR LEFT WING AM NEITHER NOT EVEN AT THE MIDDLE.....Mimi nimeuliza maswali kama una majibu toa siyo kuhukumu na lawama za kitoto!!!
 
maswali yako 10 ni kiboko kwangu,hatustahili kukukasirikia wala kununa.Mwenye majibu ya kidini atakujibu
 
Back
Top Bottom