Kwani walipo huko wodini sii wa kwake??? iweje ujione mwema kisa haipo huko???....jibu swali kwanini wapo wodini???Uvumilivu wa Mungu umevuka mipaka aisee yaani wewe mbwiga unamdhihaki YEHOVA kwa kiwango hiki? Kisa tu amekupa akili haujinyei? Amekupa afya hujui wodi ya wagonjwa wa kansa ikoje? Du hii sasa nizaidi yakufuru kwakweli!!!!
WanasemaBaba mwenye nguvu hutetea wanawe dhaifu, ila hapa ni kinyume chake mkuu.
Na kutupa majina yao ya kishenzi baada ya kudharau ya kwetu.Wanasema
Mungu anatupenda sana kwa moyo wote but km kweli anatupenda kwann kamleta shetan??
Wanasema pia mungu n powerful kuliko kitu chochote....ila pamoja na nguvu zake kashindwa mwondosha shetan na bado wanasema anaupendo
Vilivile wanasema ana huruma..hv kama ana huruma ,upendo na nguvu..katuletea shetan wanini??
Inatia wacwac kwakweli
Mm nasema kama mungu hapenzwi kwa jinsi navyo ishi yeye ndio aje kuniambia mm sio hawa waarabu na wazungu.na vitabu vyao vya kusadikika hata siwaelewi
Mbona povu linakutoka??? kufa??? we utaishi milele???Una nani wewe mavumbi na majivu unayemkosoa Mungu? Una nini wewe kigae kati ya vigae vya dunia unayekosoa Muumba wako? U nani wewe mbwa mfu unayemkosoa Mungu? Huku ni kuvuka mpaka. Ninakushauri utubu uovu huu mara moja na tena waambie Mods waufute kama hujitafutii kifo cha ghafla na kwenda motoni moja kwa moja. Mwenye masikio na asikie.
Rudi olever genetics form mkuu..bios hata ya kuiba ilikupita...wazungu nao huzaa albinoJe umewahi kujiuliza ni kwa nini mwanamume na mwanamke mweusi huzaa mtu mweupe (albino) lakini mwanamke mweupe na mwanamume yaani kwa mfano mzungu kwa mzungu hawazai albino mweusi? Lakini pia albino kwa albino bado wanazaa mtu mweusi?
Albinism ipo kwa species zote mkuu hadi mimea...ndo maana nikauliza kwanini kuna mutation iletayo ulemavu kama albinism???Je umewahi kujiuliza ni kwa nini mwanamume na mwanamke mweusi huzaa mtu mweupe (albino) lakini mwanamke mweupe na mwanamume yaani kwa mfano mzungu kwa mzungu hawazai albino mweusi? Lakini pia albino kwa albino bado wanazaa mtu mweusi?
Unajua ni kwanini alisema mchanga wa ufukweni na nyota za angani lakini au umesoma Bible kama gazeti?Kabla ya kutimiza ahadi ya Abrahamu???
Sasa hapo ndo ungeanza kumsaidia ... Hebu jibu hayo maswali kwa manufaa ya wengi... Nakuaminia mkuu, fanya mambo hapoHamna sense hapo lete mada nyingine hiyo noooooooooo! Tatizo hijui biblia umegusa gusa vitu kidogo bila kutafuta majibu You know nothing.
When time comes ndipo utajua kama natoka povu au la. Natamani umjue Mungu kabla hujafa ili ujutie dhambi hii.Mbona povu linakutoka??? kufa??? we utaishi milele???