Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,265
we dini gani ? haujui anguko la binadamu ndo chanzo cha yote
Anguko la binadam ndo lipi hilo?
we dini gani ? haujui anguko la binadamu ndo chanzo cha yote
Mbona wanapatikana Albino kutoka kwa wazazi weusi?Nakuunga mkono! Kama Mungu aliumba Adam na Eva wawili tu weupe wakazaana. Uzao wao ukawa mweupe, sasa sisi waafrika weusi tulitoka wapi? Ukiuliza unaambiwa unakufuru!
najua umemaanisha mwafrika anaweza kuzaa mzungu ila kumbuka albino sio mzungu kwa hio mwafrika kwa mwafrika hawawezi kuzaa mzungu na mzungu kwa mzungu hawawezi kuzaa mwafrika.Mbona wanapatikana Albino kutoka kwa wazazi weusi?
Kwani mzungu au mwaafrika unamtambua kwa lipi?najua umemaanisha mwafrika anaweza kuzaa mzungu ila kumbuka albino sio mzungu kwa hio mwafrika kwa mwafrika hawawezi kuzaa mzungu na mzungu kwa mzungu hawawezi kuzaa mwafrika.
Em pitia hapanajua umemaanisha mwafrika anaweza kuzaa mzungu ila kumbuka albino sio mzungu kwa hio mwafrika kwa mwafrika hawawezi kuzaa mzungu na mzungu kwa mzungu hawawezi kuzaa mwafrika.
najua umemaanisha mwafrika anaweza kuzaa mzungu ila kumbuka albino sio mzungu kwa hio mwafrika kwa mwafrika hawawezi kuzaa mzungu na mzungu kwa mzungu hawawezi kuzaa mwafrika.
There two cases involvedMods ondoeni huu uzi haraka!
asiliKwani mzungu au mwaafrika unamtambua kwa lipi?
Eti seneneMagu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!
Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!



Mkuu unaishi mkoa gani nikuelekeze sehemu utakapojibiwa haya maswali yako yaliyo mepesi?Kwa kuandika mni ngumu sana kuelezea vitu.Kama nilivyosema tatizo lako ni aidha umesoma sehemu tu ya biblia na inawezekana umekuwa ukiisoma kutafuta vitu vya kukosoa na hivyo ukajifunga ufahamu wako.hapo uliposema Yesu ni Mungu tupaweke pending mpaka tukimaliza hili...
umesema hakuna aliyewahi kuuona uso wa Mungu, then ukasema Mungu ni roho, as if umemaanisha roho haina sura..
sasa kama roho haina sura inakuaje tena Mungu anao uso angali Mungu ni roho?
na kulikua na maana gani kuandika kwenye biblia hakuna aliewahi kuuona uso wa Mungu wakati wanajua Mungu ni roho na roho haina uso?
Unaposema asili unamaanisha?asili
Una pepo wa mwendo kasi ww sio bureSijamdhihaki nimesema kweli. Kwani kuna uongo hapo??