Aqua
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 1,657
- 1,235
Tafuta post zangu nilipoongelea mambo ya body,mind and soul,soma ufunuo 4:5(kuna roho saba za Mungu) zinaongelewa utachanganyikiwa zaidi.Mambo ya Mungu si "one stop" huwezi pitia mara moja ukaelewa utapotea nimeshakuambia.Unahitaji muda kujifunza,kama nilivyokwambia ni ngumu kukufundisha kwa kutype na hapa unabahati typying speed yangu iko safi otherwise ungekuwa unajibiwa baada ya masaa.Aqua:
umenena vizuri, kwamba roho huwa inaweza kuwa kwenye form yoyote, kwa maana hio roho haina umbo, so haiwezi kuwa na uso.
na pia umesema hili neno "roho ya Mungu" kwa maana hio Mungu anayo roho, sasa kama Mungu ana roho na yeye mwenyewe ni roho huoni kama haileti maana?
mtu au kitu chochote ambacho kina uso basi na umbile pia lipo, kwa hio Mungu analo umbile, na roho ndani yake. na hapo ndipo lile neno la hakuna aliewahi kuuona uso wa Mungu linapotimia.
Nikuulize swali jingine la kukuchanganya zaid tunasema Mungu yupo kila mahali,lakini pia tunasema amekaa mahali pa juu palipoinuka kwenye kiti chake cha enzi.Naye akasema mtanijengea nyumba gani kwani duniani ndiko ninakoweka miguu yangu na mbinguni ndipo palipo na kiti changu cha enzi.Tunasema roho wa Bwana anaishi nadani yetu,je Mungu ana roho ngapi ambazo zitawatoshwa wote wanaomwamini?
Kwa akiri za kibinadamu haiwezekani huyohuyo Mungu akae ndani ya watu na awepo kila mahari na awepo mbinguni.Pia kwa akili za kibinadamu ni ngumu roho moja ikae kwa watu wengi at the same time.Narudia tena unahitaji mafunzo,lakini ujue lisilowezekana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana.
Mwulize Jimema na wewe sasa nakuambia ,huwezi weka maji kwenye glass ilyo na maji tayari.Ni lazima utoe maji yaliyomo ili uweze kuweka maji mengine.For you to receive a new knowledge/perception about God your should remove the existing one.