elite wa Geita
Senior Member
- Jul 25, 2016
- 157
- 190
Hizo si akili zangu ila nimejaribu kutumia kiasi kidogo tu cha hekima kugundua kwamba sehemu unayotaka kuelekea si kuzuri, angalau ungesema huwa unajiuliza hayo maswali nikwanini iko hivyo au ilikua hivyo tungekuja hapa tungekupa majibu instead wewe umepost as if unafeel proud kwamba unaelewa zaid na unaelimu kiasi cha kukosoa mienendo ya Mungu, aise wewe ni mwanadamu bado hata chembe ya kiungu huna thus Mungu sio size yako hata utake ku challenge nae, kama ungetaka majibu ya maswali ungeuliza ili ufahamishwe tena hata mimi mwenyewe ningekupatia majibu yote maana kwa mambo yako yote 10 sijaona swali lenye utata hapo, ila naona tu vile ulivyokurupuka na kutaka kuonesha u professor JF. tuliza akili halafu omba usaidiwe mimi nitakupatia majibu yako yote, afu wala hapana swali hapo, ukituliza akili ukataka msaada nitafute nitakusaidia majibu na labda kwa juu juu tu nikwambie kwamba Mungu hashindwi kumkamata shetani na kumuadhibu kwanza hata kipindi alipohasi mbinguni na kutupwa chini Mungu wala hakushughulika ni Malaika watiifu wa Mungu walipambana nae sasa kama malaika tu walimshinda je Mungu angeshughulika? na wala Mungu hawaadhibu watu wadhaifu kwa maana mtu amepewa uwezo na mamlaka ya kumshinda shetani na kazi zake zote sasa hap watu si dhaifu sema wamekosa maarifa ya kutumia na kudai ahadi zao walizopewa na Mungu.Hivi hizi ndio akili zako??? Unasema kufa??? mbona kila mtu atakufa tu kama hao ulio wataja??? BTW hapo umeona kuna dhihaka kwa Mungu??? mwisho tumia akili yako kuzalisha kitu kipya coz hapo nimeona marudio tu from A-Z.
Mungu haishi Mafichoni maana kabla Adamu na Hawa hawajatenda dhambi alikua akija na kuzungumza nao bustani ya Edeni na hata sasa Mungu hajajificha bali sisi dhambi zetu ndo zimefanya tusimuone Mungu.
Kama ulikua hujui dhambi ndio chanzo cha mabaya yote dhambi ndio imeleta kifo, Mungu hakuumba mwanadamu afe...haikua mpango wa Mungu kifo ni uchaguzi wa mwanadamu kwa kutokutii, hakuna cha Allege wala nini Mungu haumbi mtu na Allegy, kama kuna kiumbe chochote unachokijua wewe kua ni hatarishi basi kuanzia leo utambue kwamba Mwanadamu ndio boss wa viumbe vyote na ndio mtawala wao na hiyo ndio origin yenyewe.
Halafu hiyo Jehanamu na Moto wala haviwahusu wanadamu wala havikuwekwa ajili ya mwanadamu yeyote, ni kwaajili ya Lucifer na Malaika wenzake waliohasi nae, mwanadamu ni kihele hele chake akishikwa maskio akakubali nae ataishia motoni.... Mungu hashindwi kumcontrol mwanadamu kama robot ili afanye yale atakayo,Mungu anataka mtu aamue mwenyewe na amtumikie kwa upendo wake mwenyewe toka moyoni, kwa akili zote, roho yote na Nguvu zote.
Sasa ukituliza akili na ukataka kupata majibu ya hivyo vituko vyako nitakujibu tena kwa usahihi na kwa kina
nitashukuru kama utamjibu kwa ufasaha kabisa na pia itakuwa ni faida kwa wote hapa jamvini