ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,253
- 14,798
- Thread starter
- #621
Wanaotoa fungu la kumi ni wapumbavu sana, yaani kama unamshahara wa 1M kila mwezi utoe 100,000...kwa mwaka 1.2M kuwapelekea hao mamwinyi wanaojiita religious leaders...hivi mwisho wa hizo pesa ni nini??? maana hatujawahi kumwona huyo Mungu anayepelekewa akiwa anafanya shopping Dubai, akiwa anajaza petrol kwenye range yake petrol station...au akiwa supermarket akinunua vitu vya gharama kwajili ya familia yake. Zamani fungu la kumi lilichomwa moto na moshi ukapaa juu ila leo linaingia kwenye a/c zao...imagine 1.2M/year kwa miaka 20 ni 24M, kama anawatu 100 wenye mshahara wa 1M ndani ya miaka 20 anayo 480M kwenye fungu la kumi tu, achana na michango pamoja na sadaka nyingine.Hawasaidii watu zaidi ya kuwanyonya na kuwatisha kwa illusion hell fire...THIS IS BULLSHIT.Thanks mkuu, hua ninafikiria pale waheshimiwa sana wachungaji wanapokomalia fungu la 10 huku mishipa imewasimama as if wamezifanyia kazi. Kwamba unamtolea Mungu wakati namuona kabisa Kakobe anainunulia prado mi hua sielewi kwa kweli. Na usipotoa unaonekana muasi, hakuna hata mmoja kati ya wanaokuhukumu anaekumbuka kwamba hilo kanisa analosali nalo lilianzishwa kwa uasi in the sense that mchungaji/askofu aliwahi kua wa kanisa fulani wakashindwana (mara nyingi sababu ya maslahi) na yeye akaanzisha kanisa lake. Mifano iko mingi tu ya watu kujipumbaza na kupumbaza wenzao kwa kisingizio cha Mungu, ifike mahala kijiko kiitwe kijiko tu kama kilivyo. Asilimia kubwa watu wanaenda kwenye nyumba za ibada just to find a place to belong, na wanatoa sadaka ili wajisikie kwamba wamefanya kitu chema walau katika mlima wa vitu vibaya wanavyovifanya.