betto saria
Member
- May 8, 2017
- 8
- 7
Hahahaa,,,,Achana nae huyo asikuchoshe
Aende kwa kamanda Mndali
All the time God is good
Hahahaa,,,,Achana nae huyo asikuchoshe
Aende kwa kamanda Mndali
All the time God is good
Sawa sawa mkuuTOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa![]()
Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....
.
.
Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
Hakuna hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi
Karibuni
..........
VizuriMungu anasaidia yanaenda
VizuriMungu anasaidia yanaenda
Mimi Kuanzia Kesho Nitaanza Kuwaletea vipengele viwili: Stupid Criminals na Leo Katika Katuni. Pendekezo zuri sana waungwana!

Mdogo wanguww apo
Hapo ni Nollywood mkuu sio Bollywood6/Daniella Okeke![]()
![]()
Huyu ni binti wa Kinigeria
Ni msanii chipukizi wa Bollywood anayewatetemesha akina Rita Dominic
Filamu inayomtambulisha ni Lagos Cougars itafute !!!
Ana umri wa miaka 26
........
Kweli anavutia5/Peace Hyde![]()
![]()
Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika
........
Shukrani1/Noni Zondi
![]()
![]()
Huyu ni celeb wa huko Afrika Kusini
Anaishi pia jijini London
Hujishughulisha na mambo mengi ya Sana'a ikiwepo muziki
.
.
.
Shukrani kwa mliofuatilia mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............
187kMwanamke mwembamba halafu Chura anamtosha mwenyewe ndio shape zinazotuvutia baadhi yetu"Motorola bapa" hapa nadhani umenielewa

Msamiati gani huo?Asante sana maana leo nimepata msamiati mpya
kwahiyo wasiokua na misambwanda msukuma ww hupatani nao kabisa naona
MsambwandaaaaMsamiati gani huo?
Kheee binamu na ww pia unapenda kumbe....anapatana nao kama wanajumuiya ya kiroho, kimwili hapatani nao kabisa. Hatupishani sana
Muziki ni Maisha
Makapuku habari za kushinda, najua tumefurahia segment ya 'wadada waliojaariwa maumbo makubwamakubwa' kwa hisani ya Bitoz , sasa turudi kidgo kwenye mambo ya muziki na kama kawaida ni vionjo vya gitaa huufanya ,muziki uwe na utamu unaopendeza kwa wengi wetu.
Leo tupo hapa nyumbani, na zaidi pande za Bagamoyo. bagamoyo ni mji wa sana aa na unasifika kwa kuwa na chuo kikubwa kabisa na maarufu kwa kufundisha wasanii wa fani tofauti nchini na duniani kwa ujumla. Wapo wasanii wengi wamepita Bagamoyo, bahati mbaya sana wengi hawa hawana jina kubwa sana nchini na nyimbo zao nyingi hazipewi nafasi kwenye vituo vya radio au TV. Kuna sababu, unamjua Jhikoman, Ashimba, na Vitali? wanavuma nje ya mipaka ya Tanzania kuliko nyumbani. Sad.
Anajulikana sana hapa nchini kwa wimbo wake wa Sumu ya Teja, huyu ni Vitali Maembe. Vitali anajua kuimba, kutunga na kuandika mashairi.
Hupiga gitaa la nyuzi sita, na unapochanganya na sauti yake ya mchomoko basi hutachoka kumsikiza akiimba na kupiga gitaa lake.
Mara nyingi sana na nyimbo zake zote zinamfanya awe ni mwanaharakati zaidi, anapingana na rushwa na kutokana na aina ya muziki anaofanya keshaingia matatani na watawala mara nyingi ikiwemo kupigwa na kufutwa kwa ziara ya album yake yenye jina Chanjo ya Rushwa.
Ukipata nafasi isikize album hii, ipo bure mtandaoni kwani ilipata ufadhili wa Waswidi na ilikuwa wafanye ziara nchi nzima kugawa hii album lakini wenye mamlka hawakupenda, nadhani iliishia Dar na Bagamoyo tu.
Muziki una nguvu, na hivi ndivyo imekuwa wakati wote, hayupo wa kumpangia msanii nini cha kuimba na kama alivyowahi kusema Steve Biko ' naandika nnachopenda' ndivyo wasanii mahiri wataendelea kuisemea jamii ikiwa wabunge na wanasiasa watakaa kusema matumbo yao.
Msikize Vitali hapa akidonoa gitaa la nyuzi sita
Tujiandae na kusherekea Siku ya Mama
Napendelea viwanja vya nyumbani mkuuKweli mkuu viwanja gani unapendelea kwenda siku za weekend
Vip tena shemela