Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Daniella Okeke
840412587ff7d9efeaa4044ba2cfa01a.jpg
ce0c3714c19aebefe781f65ef52b2243.jpg

Huyu ni binti wa Kinigeria
Ni msanii chipukizi wa Nollywood anayewatetemesha akina Rita Dominic
Filamu inayomtambulisha ni Lagos Cougars itafute !!!
Ana umri wa miaka 26
........
 
Mimi Kuanzia Kesho Nitaanza Kuwaletea vipengele viwili: Stupid Criminals na Leo Katika Katuni. Pendekezo zuri sana waungwana!

Stupid Criminals itakuwa poa sana naamini na itavutia, itaamsha mijadala.
Napenda katuni, ni kitu cha kwanza naangalia nikiazima gazeti, napenda zile kisiasa, na za uswazi.
Nitasubiri sawa na wengine, all the best
 
5/Peace Hyde
ca36d393a08d28af1d69ad0f61ef23d2.jpg
ce1f461aa7b45fefe04bff058ae67a59.jpg

Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika
........
 
Misambwanda leoo. Nafwazzz. Thanks Madenge. Muumbaji Alicheza pele katika kumuumba mwanamke. Salute!
d688c934755a7efb8925273f317857a7.jpg
Huyu Vera inasemekana ndiye video vixen tajiri kuliko wote na kinachomsaidia ni kuwa kasoma. Hata mwenzake yule wakili (Corazon Kwamboka) naye kampuni yake ya nguo inafanya vizuri sana. Vixen wetu hawa akina Masogange yaani wapo wapo tu. Wakenya, kama kawaida yao, wamechangamka karibu katika kila sekta kuliko sisi...
Aisee
 
5/Peace Hyde
ca36d393a08d28af1d69ad0f61ef23d2.jpg
]
a00c3bcbebd5bba4bb2822564207bdd3.jpg

Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika
........
Yuko njema sana 50/50
 
5/Peace Hyde
ca36d393a08d28af1d69ad0f61ef23d2.jpg
]
a00c3bcbebd5bba4bb2822564207bdd3.jpg

Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika
........
Hiyo picha ya pili utakua umeichanganya huyo ni model wa kenya corazon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom