Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sawa tutajitahidi kukutag

Ila huwa naona una wasidizi wengi(natania)

Kazi yao ndio hiyo,si unajua kusudi la Mungu kukupa msaidizi,ni kanuni ya kibiblia...

MWANZO 2

18.BWANA MUNGU akasema ,si vyema huyo mtu awe peke yake ,nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.


Wasaidizi wanapaswa kuchukua majukumu yao.


Ni kweli kabisa mama mchungaji
 
Ngoja leo nimsaidie T kidogo najua sitakuangusha shemela wange

NUKUU YA LEO
Usitegemee mtu akutunzie siri ambayo wewe mwenyewe umeshindwa kuitunza hadi ukaenda kumwambia yeye.

haya maneno yamewahi tamkwa na Masanja Mkandamizaji
Ni mume wa dada aitwae Monicca
af8522fdd40fce51085006d8a62d3a23.jpg


muwe na siku njema mbarikiwe.


Ubarikiwe shem wane
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....
.
.
Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
Hakuna hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi
Karibuni
..........
 
10/Tracy Obonna
cefc06d10def1a28905f98d762aaf608.jpg
ee9b3a54a18fda0c841cb4f2a6afecb1.jpg
Huyu ni muigizaji wa Nollywood huko nchini Nigeria ambaye pia huishi huko kwa Trump
Ana elimu ya Shahada ya Uzamili(Masters in Business and Finance)
Ni Mkurugenzi Mtendaji(CEO) wa kampuni ya Sediore Cosmetics
Tracy hujishughulisha pia na uanamitindo
............
 
OMBI....OMBI....OMBI!!
Kutokana na thread kuwa na post/comment/reply nyingi kuliko yoyote ile humu JF na kufuatiliwa na watu wengi na kuwa na spidi kubwa ya watu kupost hivyo.....
Napendekeza kila mwenye segment/mada/kipindi humu abuni au awe anaanza na title/heading/kichwa cha habari/utambulisho.....inapendeza zaidi kichwa cha habari likiwa kifupi
Hii itarahisisha wale wanaopenda vipindi fulani kuweza kufuatilia kwa urahisi hata kama wamechelewa maana watasearch hii option linapatikana kule juu pembeni Julia kwenye kila thread
Mfano iwe;
*Leo katika historia
*Unbelievable Facts
*Nukuu ya Leo
*Neno la asubuhi
*Magazeti ya Leo
*Burudani ya usiku
*Top Ten
*Je Wajua ?
*Did you know ?
*viwanjani Leo
*Vunja mbavu
n.k
Viandikwe kwenye utangulizi/post ya kwanza
.
.
.
Natanguliza shukrani
Nawatakia asubuhi njema
By
Nyangema
...........


Wazo zuri sana mdau, naamini kwenye kipande ambacho huwa napandisha wadau Makapuku wanaweza kupendekeza "title" yake.

Labda kwa uchache, kwangu kama ilivyo kwa wengi wetu, siishii tu kueleza utamu wa gitaa na mpigaji.

Gitaa katika muziki ni kinogesho wa kile kinachowasilishwa na mtunzi, mwandishi kwa hadhira yake.
Muziki ni maisha na bila muziki maisha yetu yangekuwa very boring, kila siku tungekuwa watu wa viwanda tu, vita tuu, kazi tuu na vitu vingine vinavyochosha. Muziki umerahisisha haya na kuyafanya yawe rahisi.

Muziki ni maisha, ni aina ya kipekee ambayo mtu anaweza kujieleza na akaeleka kwa urahisi. Wapo wasioweza kujieleza, wana aibu ila muziki unawapa kujiamini na kusikizwa.

Kwenye gitaa la muziki kuna kila kitu unachowaza, kuna sayansi, hesabu, mapenzi, siasa, kisasi, maendeleo, hisia, nia, mapinduzi, shukrani, imani/dini na chochote unachowaza. Nguvu ya muziki inajieleza katika haya niliyotaja
Niandike nini nisikuchoshe, nitakuwekea muziki na siku zote naamini tuliumbwa na anayependa muziki.

Weka pendekezo lako hapa. Tukutane baada ya muda mfupi nikikuletea mambo ya sauti tamu za gitaa.
 
TOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa
ce3e29b3091b4cf5be7bacc097daa6d9.jpg

Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....
.
.
Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
Hakuna hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi
Karibuni
..........
Leta maneno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom