Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ubarikiwe sana jamani Mungu aliumba na bado anaumba tumshukuru sana sana kwa uumbaji wake ...watu ni wazuri..wanavipaji..wasomi..hakika tumshukuru Mungu

Asante mkuu Bitoz kwa makala hii kazi yako ni njema .

Shunie ukishona ule mshono ukitoka vzr niambie nami nijaribu,ila fundi mwambie kabisa yangu iwe ndefu.

asante mkuu

Asante kwa top 10 wapenda chura mtakua mmeinjoy

Asante bitoz kwa kumi kubwa
Pamoja sana wadau
Week end narelax tu
Tukutane J3
.........
 
Hata mimi namwona Shunie kama omotola
a34eb6f6a6aa81c8df931e67aac93192.jpg

ningekua hivyo hata porini lee sijui kama angeenda mama mchuchu mm flatscreen
 
Muziki ni Maisha

Makapuku habari za kushinda, najua tumefurahia segment ya 'wadada waliojaariwa maumbo makubwamakubwa' kwa hisani ya Bitoz , sasa turudi kidgo kwenye mambo ya muziki na kama kawaida ni vionjo vya gitaa huufanya ,muziki uwe na utamu unaopendeza kwa wengi wetu.

Leo tupo hapa nyumbani, na zaidi pande za Bagamoyo. bagamoyo ni mji wa sana aa na unasifika kwa kuwa na chuo kikubwa kabisa na maarufu kwa kufundisha wasanii wa fani tofauti nchini na duniani kwa ujumla. Wapo wasanii wengi wamepita Bagamoyo, bahati mbaya sana wengi hawa hawana jina kubwa sana nchini na nyimbo zao nyingi hazipewi nafasi kwenye vituo vya radio au TV. Kuna sababu, unamjua Jhikoman, Ashimba, na Vitali? wanavuma nje ya mipaka ya Tanzania kuliko nyumbani. Sad.

Anajulikana sana hapa nchini kwa wimbo wake wa Sumu ya Teja, huyu ni Vitali Maembe. Vitali anajua kuimba, kutunga na kuandika mashairi.

Hupiga gitaa la nyuzi sita, na unapochanganya na sauti yake ya mchomoko basi hutachoka kumsikiza akiimba na kupiga gitaa lake.

Mara nyingi sana na nyimbo zake zote zinamfanya awe ni mwanaharakati zaidi, anapingana na rushwa na kutokana na aina ya muziki anaofanya keshaingia matatani na watawala mara nyingi ikiwemo kupigwa na kufutwa kwa ziara ya album yake yenye jina Chanjo ya Rushwa.

Ukipata nafasi isikize album hii, ipo bure mtandaoni kwani ilipata ufadhili wa Waswidi na ilikuwa wafanye ziara nchi nzima kugawa hii album lakini wenye mamlka hawakupenda, nadhani iliishia Dar na Bagamoyo tu.
Muziki una nguvu, na hivi ndivyo imekuwa wakati wote, hayupo wa kumpangia msanii nini cha kuimba na kama alivyowahi kusema Steve Biko ' naandika nnachopenda' ndivyo wasanii mahiri wataendelea kuisemea jamii ikiwa wabunge na wanasiasa watakaa kusema matumbo yao.

Msikize Vitali hapa akidonoa gitaa la nyuzi sita, Mondray




Tujiandae na kusherekea Siku ya Mama
 
Muziki ni Maisha

Makapuku habari za kushinda, najua tumefurahia segment ya 'wadada waliojaariwa maumbo makubwamakubwa' kwa hisani ya Bitoz , sasa turudi kidgo kwenye mambo ya muziki na kama kawaida ni vionjo vya gitaa huufanya ,muziki uwe na utamu unaopendeza kwa wengi wetu.

Leo tupo hapa nyumbani, na zaidi pande za Bagamoyo. bagamoyo ni mji wa sana aa na unasifika kwa kuwa na chuo kikubwa kabisa na maarufu kwa kufundisha wasanii wa fani tofauti nchini na duniani kwa ujumla. Wapo wasanii wengi wamepita Bagamoyo, bahati mbaya sana wengi hawa hawana jina kubwa sana nchini na nyimbo zao nyingi hazipewi nafasi kwenye vituo vya radio au TV. Kuna sababu, unamjua Jhikoman, Ashimba, na Vitali? wanavuma nje ya mipaka ya Tanzania kuliko nyumbani. Sad.

Anajulikana sana hapa nchini kwa wimbo wake wa Sumu ya Teja, huyu ni Vitali Maembe. Vitali anajua kuimba, kutunga na kuandika mashairi.

Hupiga gitaa la nyuzi sita, na unapochanganya na sauti yake ya mchomoko basi hutachoka kumsikiza akiimba na kupiga gitaa lake.

Mara nyingi sana na nyimbo zake zote zinamfanya awe ni mwanaharakati zaidi, anapingana na rushwa na kutokana na aina ya muziki anaofanya keshaingia matatani na watawala mara nyingi ikiwemo kupigwa na kufutwa kwa ziara ya album yake yenye jina Chanjo ya Rushwa.

Ukipata nafasi isikize album hii, ipo bure mtandaoni kwani ilipata ufadhili wa Waswidi na ilikuwa wafanye ziara nchi nzima kugawa hii album lakini wenye mamlka hawakupenda, nadhani iliishia Dar na Bagamoyo tu.
Muziki una nguvu, na hivi ndivyo imekuwa wakati wote, hayupo wa kumpangia msanii nini cha kuimba na kama alivyowahi kusema Steve Biko ' naandika nnachopenda' ndivyo wasanii mahiri wataendelea kuisemea jamii ikiwa wabunge na wanasiasa watakaa kusema matumbo yao.

Msikize Vitali hapa akidonoa gitaa la nyuzi sita




Tujiandae na kusherekea Siku ya Mama

huyu kumbe ndio vital maembe
asante binamu kwa good music
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom