Mungu anasaidia yanaendaNi kwema kabisa shem wane
Maisha vipi?
Mic u!Oyeeeeeeeee
Mimi Kuanzia Kesho Nitaanza Kuwaletea vipengele viwili: Stupid Criminals na Leo Katika Katuni. Pendekezo zuri sana waungwana!Wazo zuri sana mdau, naamini kwenye kipande ambacho huwa napandisha wadau Makapuku wanaweza kupendekeza "title" yake.
Labda kwa uchache, kwangu kama ilivyo kwa wengi wetu, siishii tu kueleza utamu wa gitaa na mpigaji.
Gitaa katika muziki ni kinogesho wa kile kinachowasilishwa na mtunzi, mwandishi kwa hadhira yake.
Muziki ni maisha na bila muziki maisha yetu yangekuwa very boring, kila siku tungekuwa watu wa viwanda tu, vita tuu, kazi tuu na vitu vingine vinavyochosha. Muziki umerahisisha haya na kuyafanya yawe rahisi.
Muziki ni maisha, ni aina ya kipekee ambayo mtu anaweza kujieleza na akaeleka kwa urahisi. Wapo wasioweza kujieleza, wana aibu ila muziki unawapa kujiamini na kusikizwa.
Kwenye gitaa la muziki kuna kila kitu unachowaza, kuna sayansi, hesabu, mapenzi, siasa, kisasi, maendeleo, hisia, nia, mapinduzi, shukrani, imani/dini na chochote unachowaza. Nguvu ya muziki inajieleza katika haya niliyotaja
Niandike nini nisikuchoshe, nitakuwekea muziki na siku zote naamini tuliumbwa na anayependa muziki.
Weka pendekezo lako hapa. Tukutane baada ya muda mfupi nikikuletea mambo ya sauti tamu za gitaa.
Unacheka kwa kunitag kule![]()
![]()



akii nikikuona kule mbavu sina unataka kwenda pm
ww apoLa mdogo wangu
Santee shem wange![]()
![]()
![]()
Ubarikiwe shem wane
Misambwanda leoo. Nafwazzz. Thanks Madenge. Muumbaji Alicheza pele katika kumuumba mwanamke. Salute!7/Vee S Beib![]()
![]()
Huyu ni binti wa Kikenya ambaye jina lake halisi ni Vera Sidika
Ni mpendezeshaji wa video za wanamuziki mbalimbali(Video vixien)
Anaonekana zaidi kwenye video za kundi la hip hop huko Kenya liitwalo P-Unit
........
giggy kichaaTOP TEN
Week end huanza Ijumaa hivyo leo sitajadili siasa wala uchumi au mambo ya elimu ni burudani,udaku au starehe kama kawa![]()
Hapa Bongo hakuna asiyemjua Giggy Money(Muuza Supu) ana mzigo wa nguvu.....
.
.
Sasa leo tuwaangalie wale wasanii maarufu kumi wanaosifika kwa kujazia
Hakuna hakuna akina Masogange kwenye hii list maana wanaongelewa ambao ni maarufu zaidi
Karibuni
..........
Mcute10/Tracy Obonna
Huyu ni muigizaji wa Bollywood huko nchini Nigeria ambaye pia huishi huko kwa Trump![]()
Ana elimu ya Shahada ya Uzamili(Masters in Business and Finance)
Ni Mkurugenzi Mtendaji(CEO) wa kampuni ya Sediore Cosmetics
Tracy hujishughulisha pia na uanamitindo
............
Nampenda huyu dada9/Omotola Jalade![]()
![]()
Huyu pia ni mcheza filamu za Kinigeria huko Bollywood
Baadhi ya muvi alichocheza ni Ije,A Private Storm,Mortal Inheritance na Last Fight to Abuja
Ana umri wa miaka 39
......
Mmh shemela mzee wa kinyerezi toka lini ukashangilia simbaOyeeeeeeeee
Alikuaga mweusi sasa hivi mweupee7/Vee S Beib![]()
![]()
Huyu ni binti wa Kikenya ambaye jina lake halisi ni Vera Sidika
Ni mpendezeshaji wa video za wanamuziki mbalimbali(Video vixien)
Anaonekana zaidi kwenye video za kundi la hip hop huko Kenya liitwalo P-Unit
........
Misambwanda leoo. Nafwazzz. Thanks Madenge. Muumbaji Alicheza pele katika kumuumba mwanamke. Salute!![]()




Mic u 2Mic u!
Ni maisha yake. She has every right kuishi atakavyo ali mradi havunji sheria. Na ni afadhali kichaa anayejionyesha kuliko kichaa aliyejificha katika sanity ya bandia! Na vichaa waliojificha ndo wengi katika jamiigiggy kichaa



Ni kweliNi maisha yake. She has every right kuishi atakavyo ali mradi havunji sheria. Na ni afadhali kichaa anayejionyesha kuliko kichaa aliyejificha katika sanity ya bandia!
Si unajua tena. Misambwanda. Ukibonge. Weupe and the boy from Koromije is completely finished kabisa kabisa!