Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/Joselyn Damas
3ae16d86161a441bc55a69146ac8e350.jpg
b90615f5f1a2e85e78fde5a3c841610e.jpg

Huyu ni muongoza vipindi vua luninga huko Ghana
Pia ni mwigizaji anapatikana kwenye muvi kama Silver Rain,A Sting in aTale na mfululizo wa muvi za Adams Apples
Ana umri wa miaka 36 lakini anaonekana kama kigori
........
Kweli kigori aisee
 
Yuko vizuri .


Na wote wanavutia na wana vipaji ila wangejitahidi kuvaa mavazi ya kuwasitiri,sina uhakika kama wakivaa hivi ndio wanavutia zaidia au ni mtizamo tu,zipo nguo nzuri za kuvutia na kusitiri ninauhakika wakivaa watakuwa warembo zaidi,niwazuri sana kwakweli na yale mambo anapenda ndugu yangu SHIMBA yote yamekamilika Mungu awabariki na kazi zao ziendelee kuwa njema
kama huyo ni model mama mchuchu lazima avae hivyo tumuone
 
2/Joselyn Damas
3ae16d86161a441bc55a69146ac8e350.jpg
b90615f5f1a2e85e78fde5a3c841610e.jpg

Huyu ni muongoza vipindi vua luninga huko Ghana
Pia ni mwigizaji anapatikana kwenye muvi kama Silver Rain,A Sting in aTale na mfululizo wa muvi za Adams Apples
Ana umri wa miaka 36 lakini anaonekana kama kigori
........
Mzuri nimeipenda hiyo nguo yake ya kitenge ya pili ngoja nimpelekee fundi wangu wa kibarazani akanishonee
 
1/Noni Zondi
f6ad44fbe6eef8b6e1f02b0957c2082a.jpg
e5110ad36871fd1b0c06edf717836bfb.jpg

Huyu ni celeb wa huko Afrika Kusini
Anaishi pia jijini London
Hujishughulisha na mambo mengi ya Sana'a ikiwepo muziki
.
.
.
Shukrani kwa mliofuatilia mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
...............
 
Ila huwa inaisha baada ya muda utafanya nini mkuu ukiporomoka?utatafuta mngine au ?
Kwani wasio na misambwanda huwa hawaporomoki? Father time spares no one, isn't it? Akifikia hatua ya kuporomoka na mimi nitakuwa nimeporomoka kwa hivyo tunakwenda kwenye hayo maporomoko pamoja na miporomoko yetu HAPPILY. Kwema mtumishi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom