Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Mama mchuchu ujue wanakuharibu hawa vijana
Mama mchuchu ujue wanakuharibu hawa vijana
bado zamu Tumaso ajibu hilo swaliMhhhhhhmhhhhh
Sawa naagizaagizo unachotumia nitalipia
usinikumbushe mambo ya ule uzi jamaanSikutishi nakutahadharisha.... Si Unakumbuka ulipotoa ule uzi.
Haaaaahaaaa, nilijua tu, ndio maana nikakusaidia kuandikaNimeshindwa kuandika mswambanda...wewe umesema flat screen hiyo nguo itakaa![]()
![]()
Mbona unacheka sasa
Ule uzi unakuumbua shemelaNdio mbele sieleweki nyuma sitamaniki
Mwanamke mwembamba halafu Chura anamtosha mwenyewe ndio shape zinazotuvutia baadhi yetu"Motorola bapa" hapa nadhani umenielewaSijakuelewa
hahaha nimefurahi mama mchuchu kusema yy no 7Mbona unacheka sasa
Kweli aisee![]()
karidhika na mifupa yangu
Oyooooooitakaa tu mama mchuchu si itanishape
Kweli aisee




chura tuwaachie nyie mnaopenda naomba hilo pepo la chura lishindwe kwa lee wanguAisee kazi ipoMmh![]()
mbona unanitisha
From past mistakes we make a correct future.usinikumbushe mambo ya ule uzi jamaan
Sawa katatufe sasaMwanamke mwembamba halafu Chura anamtosha mwenyewe ndio shape zinazotuvutia baadhi yetu"Motorola bapa" hapa nadhani umenielewa
Hapana anajifunza mambo mengi ya vijanaMama mchuchu ujue wanakuharibu hawa vijana
hahahha shemela ujue ule uzi kila mtu anajua nafanana na ule kumbe walaAisee kazi ipo
Amesema tu bila kuangalia, lengo lake aseme no2hahaha nimefurahi mama mchuchu kusema yy no 7