Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Corazon Kqamboka
43a8f5f4e5d25ffa729f6c72daf33be6.jpg
496b53390c330cc0d0fb28e46a342d4a.jpg

Huyu ni binti wa Kikenya anayechuana na Vera Sidika
Huyu haihitaji hata maneno mengi kumuelezea
Umri wake ni miaka 24 tu
........
Aisee duh, basi tu
 
3/Corazon Kqamboka
43a8f5f4e5d25ffa729f6c72daf33be6.jpg
496b53390c330cc0d0fb28e46a342d4a.jpg

Huyu ni binti wa Kikenya anayechuana na Vera Sidika
Huyu haihitaji hata maneno mengi kumuelezea
Umri wake ni miaka 24 tu
........
Yuko vizuri .


Na wote wanavutia na wana vipaji ila wangejitahidi kuvaa mavazi ya kuwasitiri,sina uhakika kama wakivaa hivi ndio wanavutia zaidia au ni mtizamo tu,zipo nguo nzuri za kuvutia na kusitiri ninauhakika wakivaa watakuwa warembo zaidi,niwazuri sana kwakweli na yale mambo anapenda ndugu yangu SHIMBA yote yamekamilika Mungu awabariki na kazi zao ziendelee kuwa njema
 
Yuko vizuri .


Na wote wanavutia na wana vipaji ila wangejitahidi kuvaa mavazi ya kuwasitiri,sina uhakika kama wakivaa hivi ndio wanavutia zaidia au ni mtizamo tu,zipo nguo nzuri za kuvutia na kusitiri ninauhakika wakivaa watakuwa warembo zaidi,niwazuri sana kwakweli na yale mambo anapenda ndugu yangu SHIMBA yote yamekamilika Mungu awabariki na kazi zao ziendelee kuwa njema
Ujumbe bora kabisa, Asante mama mchungaji
 
2/Joselyn Damas
3ae16d86161a441bc55a69146ac8e350.jpg
b90615f5f1a2e85e78fde5a3c841610e.jpg

Huyu ni muongoza vipindi vua luninga huko Ghana
Pia ni mwigizaji anapatikana kwenye muvi kama Silver Rain,A Sting in aTale na mfululizo wa muvi za Adams Apples
Ana umri wa miaka 36 lakini anaonekana kama kigori
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom