Makapuku Forum

Makapuku Forum

8ccd6466369e66321dba875ca1f6cbd6.jpg
2c8c0e0c2b0b295e1c2937b3d52b6398.jpg

.
.
.
.shukrani mkuu kwa historia
Tukutane jioni
.........
Shukrani mkuu Bitoz kwa picha mujarabu

All the time God is good
 
7b57da4a75a912fa00cac9b5ae41120d.jpg
92d587c653c7736b94cee5a65f3ecacd.jpg
a67ad66366cee1213c9cf2d374184b55.jpg

Kansa yake ilisababishwa na kidole cha mguuni alichoumia wakati akicheza soka
Madaktari walimshauri akubali kufanyiwa operesheni kukiondoa lakini akakataa kutokana na Imani yake ya Urastafarah matokeo yake kansa ikasambaa na kusababisha kifo chake
"I'll shoot a tariff"
.........
Siwalaumu Marastafari wenzake kumpachika cheo cha unabii katika dini yao. Alikuwa na falsafa nzito sana kuhusu maisha, nafasi ya binadamu hapa duniani, migongano ya kitabaka, ubaguzi na mengineyo mengi. Ukizisikiliza nyimbo zake kwa uangalifu utagundua kwamba alikuwa na ujumbe mzito sana na aliweza kuuwasilisha kwa ustadi wa ajabu.

Basi siku moja niko mitaa fulani huko kwa Trump na Corolla yangu iliyochoka nikiwa bado mgeni mgeni mwanafunzi. Nimechochea "I shot the sherrif but I swear it was in self defense" kwenye red light na madirisha yako wazi. Kuja kuangalia pembeni kumbe kuna polisi naye kafungua madirisha. Jasho lilinitoka kwa sababu hata leseni nilikuwa sina. Kwa bahati nzuri taa zikaruhusu kila mtu akaenda kivyake. Sitakaa nisahau!
cf48146945d13ef26a42e4e9ea1082fc.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom