Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
1955 - Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill anajiuzulu wadhifa huo kwa sababu za kiafya.
Alishika wadhifa huo mara mbili tofauti. Anatajwa kama mmoja kati ya Mawaziri Wakuu bora katika siasa za Uingereza.
Ndio mtu wa kwanza kati ya Watu 8 pekee kupewa Uraia wa heshima katika Nchi ya Marekani.
Alishika wadhifa huo mara mbili tofauti. Anatajwa kama mmoja kati ya Mawaziri Wakuu bora katika siasa za Uingereza.
Ndio mtu wa kwanza kati ya Watu 8 pekee kupewa Uraia wa heshima katika Nchi ya Marekani.