Makapuku Forum

Makapuku Forum

1955 - Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchill anajiuzulu wadhifa huo kwa sababu za kiafya.

Alishika wadhifa huo mara mbili tofauti. Anatajwa kama mmoja kati ya Mawaziri Wakuu bora katika siasa za Uingereza.

Ndio mtu wa kwanza kati ya Watu 8 pekee kupewa Uraia wa heshima katika Nchi ya Marekani.
 
NUKUU YA LEO


There is no time to waste. We must either unite now or perish.

Hakuna muda wa kupoteza, lazima tuungane ama tuangamie

Haya maneno yalipata kusemwa na Mwalim. Julius Kambarage Nyerere, muasisi na baba wa taifa la Tanzania.

Mwal. Jk nyerere ndio aliyeongoza vita ya kupigania uhuru wa Tanganyika na baadaye kuwa Tanzania.

Mwal. Atakumbukwa kwa mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi za Africa hasa nchi za kusini mwa jangwa la sahara..

Ukweli wake, kupenda haki, utu wake, na maadili yake yameendeea kuwa kama nembo ya utambulisho kwa Taifa la Tanzania.

Mwalimu amepokea zaidi ya tuzo 12 kwa mchango wake ktk mataifa mbalimbali, aliongoza tanzania kwa miaka 24 kabla ya kung'atuka madarakani tar 5/11/1985.

Mwal. Alifariki dunia tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.

073d94486964f97022b425102e50c974.jpg


1afbe96e4a63cd215a1b9c083f40e3dd.jpg


Umoja ni nguvu! Mwalimu alipenda tuungane ili tuwe na nguvu..

Umoja wetu ni mafanikio yetu..

Transcend.
R.I.P the late father of our nation
Mwl Julius Kambarage Nyerere
Hakika tutamkumbuka kwa mengi
 
Habari za asubuhi wapendwa wangu makapuku!?

Leo nimeamka nikiwa na hamu ya kuwafaham hawa watu na ningeomba kueleweka japo ni ngumu kwa sababu ni suala la moyon inawezekana ulimi hauwez kulieza vizr nikapata kueleweka!!!

Transcend
Nyegei
Blessed hope
Rogie
Sakayo
Shedede
Shunie
ClKey
Lee empire
Bullar

Nyinyi ni kina nani!?!?

Hapa inbox naomba iuhisike na na mshukulu MUNGU mondray nimeshamfaha na lakufurahisha zaidi ni Jilani yangu!!!

Ndugu leo sio kesho upatopo wazo lifanyie kazi usisubilie kesho!!

Nimeamua kuomba kuwafaham koz nmemeona mnastahili kuwa wanafamilia wangu Kupitia makapuku japo wengine watakuwa wa mbali ila sitajali!!
Brooh!

Unanifahamu tayari kaka!

Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?

Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..


Jina: Transcend M.

Jinsia: me

Age; 27

Kazi: mjasiria mali

Ndoa; uchumba na Sakayo

Bado nini tena mkuu?

Natumaini mmenifahamu sasa..!
 
Brooh!

Unanifahamu tayari kaka!

Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?

Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..


Jina: Transcend M.

Jinsia: me

Age; 27

Kazi: mjasiria mali

Ndoa; uchumba na Sakayo

Bado nini tena mkuu?

Natumaini mmenifahamu sasa..!
Weka mawasiliano binafsi tuweze kuhack mkuu
 
2003 - Majeshi ya Marekani wanamkamata Kiongozi wa Iraq, Saddam Hussein na kuhitimisha Utawala wake nchini Iraq uliodumu kwa muda mrefu.

Saddam Hussein alikuwa ni mmoja ya viongozi wababe waliotikisa Dunia miaka ya 90.

Alinyongwa baada ya kupatikana na makosa ya uhalifu dhidi ya Binadamu.
 
3de60403bb7bbe4db7b7af3d8bdd6a66.jpg



Kumuondoa Arsen Wenger ni tatizo la kwanza, kuwatuliza mashabiki ni tatizo la pili, kuwabakisha Ozil na Sanchez nalo ni tatizo la tatu...... Alafu tatizo la nne ni kuirudisha Arsenal ndani ya top four......
Na tatizo la tano ni michezo migumu uliopo mbele ya macho yao huku timu ikiwa frustrated kuanzia mbinu mpaka saikolojia........japo juz walifunga

Kumtikisa Stan Kroenke ni kutokununua tiketi za Msimu ujao tu kwaajili ya Wenger ila kukusanya maoni hata 100% na kubeba mabango hakuwezi kupenya kwenye mawani ya Stan Kroenke kirahisi...... Sasa endeleeni kununua tiketi na muendelee kujibebea mabango kwa mazoezi zaidi....

Huu ni Msimu wa lawama tu..... Wacha tulaumiane
Wanatakiwa wafanye kama Leicester kupoteza kila game washike no. 17 kama Wenge hajaondoka!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom