Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wajinga waliotuignore mwanzo halafu wakatucheka baadaye wakaanza kupambana na sisi kwa kuanzisha Vingongo forum na thread za kutuponda lakini mwisho TULIWASHINDA

angalia ht sasa kale kathread hapo pembeni wanatusema vibaya utafikiri hawajawahi kuliona zuri hata 1 humu...wanafiki tu hao kutwa nzima wana ingia humu kusoma maujanja halafu wanazuga kuponda
Tuwapotezee siyo level yetu
............
Makapuku
 
WATU MASHUHURI WALIOFARIKI KWA KUPIGWA RISASI!!
  1. John F. Kenedy.Alikuwa Rais wa 35 wa Marekani,aliuawa novemba 22 mwaka 1963 akiwa na mkewe kwenye gari la wazi.View attachment 407581
  2. Martin Luther King Jr.Alikuwa mwanaharakati wa ubaguzi wa rangi nchini marekani.Yeye alitumia dini ya kikristo kutetea wamarekani weusi huku mwenzie Malcom X akitumia uislamu,King Jr aliuawa miaka mitatu baada ya Malcom X (1965) wote walifariki wakiwa na miaka 35.View attachment 407582
  3. Abraham Lincoln.Alikuwa rais wa 16 wa marekani,na ndiye wa kwanza kuawa akiwa madarakani.Aliuawa mwaka 1865 akiwa kwenye onesho la muziki na John Booth aliyeudhiwa na maamuzi ya Abraham kutambua haki za watu weusi!!View attachment 407583
  4. Mahtma Gandhi.Alikuwa kiongozi maarafu zaidi wa india iliyokuwa ikitawaliwa na waingereza,alijulikana kwa hotuba zinatumika hadi sasa.Aliuawa na mwanafunzi wa chuo kikuu cha NATHURAM GODSE alipokuwa akielekea kufanya ibada mwaka 1948,jan 30.View attachment 407584
  5. John Lennon.Alikuwa mmoja wa wanakikundi "The Bittles"(Bitoz),walitamba miaka ya 70 na 80.alipigwa risasi akiwa hotelini tar.8.disemba 1980.
  6. Malcom X.kama ilivyo kwa King Jr,naye alikuwa mtetezi wa watu weusi,yeye aliuawa baada ya kuwa "muislam wa kisuni" na kuondoka katika chama cha "national islam".wauaji wote watatu walikuwa ni wanachama chama hicho!View attachment 407585
  7. Tupac Omar Shakur.alikuwa mwanamuziki maarufu duniani kote,alipigwa risasi sep.7 1996 akitokea kwenye pambano la Mike Tyson huko las vegas.baada ya miezi sita B.I.G nae aliuawa akihusishwa na kifo cha 2pac.View attachment 407586
safi mkuu.
 
Usiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
  • Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
  • Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
  • Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
  • Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom