Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu ni utamaduni wetu kuwa kama kuna segment inaendelea basi stori zinazopigwa ziwe ni zile zinazohusu segment husika, ikiisha tunaendelea na stori zetu kama kawaida
Kwanza hatuna kitu kinachotumia muda mrefu.
Ni matumaini yangu kuwa mtaendeleza utamaduni huo ili kufanya KF izidi kuwa homa ya dengue
Inachoaha kuwasema sema watu lazima tena wengine hawana hata swaga wanajisemeshasemesha tu km matahira bhana ..mtu km hana swaga si kalale tu kwani lazima na yy kapost
BORING
.............
 
Morning all.


Si yakukosa leo.
 

Attachments

  • 1474956589161.jpg
    1474956589161.jpg
    8.3 KB · Views: 21

Similar Discussions

Back
Top Bottom