Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli.. Nilikuwa naleta lyrics watu wanapiga soga tu.. Mtu unaacha tu, ila tungekuwa systematically, haichoshi kila siku vtu vpya, sasa kuleta stori uchwara sometime miyeyusho inaboa.
Story ni muda ambao hatuna segment/kitu cha kujadili
Tubadilike watu wabuni segment siyo kuwa wasindikizaji tu....Tusaidiane kuelimishana,kufundishana vitu vyenye u muhimu

Stori zinaburudisha lakini siyo kutwa nzima au wkt wa segment
Tutaonekana mambumbumbu
.........
 
tapatalk_1474960056494.jpeg

JFK alikuwa na nuksi sana
Huyu ndo Rais mwenye mikosi kuliko wote USA
Alifiwa hadi na kichanga chake Ikulu
 

Ni saa 7 usiku mwendesha bodaboda anamalizia kuvuta bangi. Anaingia bafuni na kujimwagia kopo la kwanza na la pili, anashtuka na kuanza kupiga makelele na kutoka nje akidai bafuni kuna majini. Watu wanakuja wanamkuta uchi. Wanamuuliza kulikoni, anasema kila akijimwagia maji kichwani nywele hazilowi. lazima bafuni kuna majini. kumwangalia vizuri kichwani kumbe kavaa HELMET. .!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom