Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Story ni muda ambao hatuna segment/kitu cha kujadiliKweli.. Nilikuwa naleta lyrics watu wanapiga soga tu.. Mtu unaacha tu, ila tungekuwa systematically, haichoshi kila siku vtu vpya, sasa kuleta stori uchwara sometime miyeyusho inaboa.
Tubadilike watu wabuni segment siyo kuwa wasindikizaji tu....Tusaidiane kuelimishana,kufundishana vitu vyenye u muhimu
Stori zinaburudisha lakini siyo kutwa nzima au wkt wa segment
Tutaonekana mambumbumbu
.........

. Anaingia bafuni na kujimwagia kopo la kwanza na la pili, anashtuka na kuanza kupiga makelele na kutoka nje akidai bafuni kuna majini. Watu wanakuja wanamkuta uchi. Wanamuuliza kulikoni, anasema kila akijimwagia maji kichwani nywele hazilowi. lazima bafuni kuna majini. kumwangalia vizuri kichwani kumbe kavaa HELMET.