shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Haya buanaMabingwa wa EPL first round
Every season
![]()
![]()
![]()
.........
Haya buanaMabingwa wa EPL first round
Every season
![]()
![]()
![]()
.........
Naona unazidi kukimbizaaMorning Mp
Nimeziona ulizoquoteHiyo niliyo quote sio ya janaa.....
Nenda Rome ukaulize
........
we bitoz uchwara utulie....au umesahau mimi ni

Wengine vinatusumbuaViporo vitamu we mzee
Labda mliwahi kunizaaIla jamani huku nako ni kuzeeshana![]()
![]()
Sasa briz and I tunawezaje kuwa na mtoto mkubwa hivi halafu asie msikivu??
Hiyo ya PELE sikujuaUsiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
- Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
- Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
- Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
- Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.
Kweli kabisaUzi una speed sana usimlaumu
PouwaMorng, niaje wewe!!?
Nimeziona ulizoquote
Huwa sikurupuki
Ukiingia tulia soma post za wenzio sio kuporpmosha maquote yasiyo na u lazima ......
.............
basi sikuangalia vizuri........maana huwa naanza za asubuhiiNawe piaMchana mwema
Mama yangu amenikana hahahahahaSio mwanangu labda ni wa Sweetiepie
🙁Je wajua kuwa "THE AREA BETWEEN YOUR EYEBROWS IS CALLED "GLABELLA""
Kwa Leo niishie hapo.....kwa udhamini wa makapuku wotee