Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
  • Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
  • Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
  • Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
  • Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
Hiyo ya PELE sikujua
Duh Kali
.........
 
Screenshot_2016-09-27-11-47-28.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom