Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Hekima kwanza inatoka kwa Mungu ni kama talanta...mtu ana kuwa na akili ya kugundua mambo haraka zaidi kwa utashi wa hali ya juu...wakati mwingine hata mtu anataka kukufanyia hila unagundua na pia mtu mwenye hekima huwa anaongea mambo possitive tu wakati wote hana hiana. Hii ni kwa jinsi mimi navyoelewa maana ya neno HekimaHEKIMA
Family naomba maana ya neno hekima
Cc bitoz
Jimena
Musilin5
Billy5
Shululu
Sweetie
Na wengineo


