Makapuku Forum

Makapuku Forum

1474182679606.jpg
 
Jpm akiwa hivyo sisi wabongo tutaanza maneno mengi
Tatizo jamaa haonyeshi ni nin kalenga but kagame yuko wazi ni wapi anaipeleka nchi, matunda yanaonekana na anaungwa mkono na watu wake, kumbuka alishirikiana diaspora kuboresha makazi duni ya warwanda, kuimarisha uchumi mipango yake iko wazi.
Endapo jamaa akaweka wazi dira yake ya maendeleo na kuanza kuonyesha dalili za kuisimamia
Tutamuunga mkono mkuu wangu.
Shida dira haieleweki, ni sawa majipu yametumbuliwa lkn swali, what next!
 
Tatizo jamaa haonyeshi ni nin kalenga but kagame yuko wazi ni wapi anaipeleka nchi, matunda yanaonekana na anaungwa mkono na watu wake, kumbuka alishirikiana diaspora kuboresha makazi duni ya warwanda, kuimarisha uchumi mipango yake iko wazi.
Endapo jamaa akaweka wazi dira yake ya maendeleo na kuanza kuonyesha dalili za kuisimamia
Tutamuunga mkono mkuu wangu.
Shida dira haieleweki, ni sawa majipu yametumbuliwa lkn swali, what next!
Unajua hii nchi kuna watu wanafanya kama yao pekee yao. Toka JPM aingie kidogo ila sio sana. Muda mwingine maamuzi magumu Ni lazima ila watu wajue kuwa tunataka maendeleo kwa vitendo wala sio maneno tupu.

JPM aoneshe dira tu mbona tutanyooka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom