Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_20160918_113243.jpeg

Halafu inazingua

..........
 
1971 - Sol Campbell anazaliwa.

Ni beki kisiki wa zamani wa Spurs, Arsenal, Portsmouth na timu ya taifa ya England.

Anakumbukwa kwa uhamisho wake wa kushtukiza toka Spurs kwenda Arsenal ambapo Mashabiki wa Spurs ambao ni Wapinzani wakuu wa Arsenal hawajawahi kumsamehe kwa dhambi ile na mpaka leo wanamwita ni MSALITI.
IMG_20160918_114318.jpeg
IMG_20160918_114253.jpeg
IMG_20160918_114305.jpeg

Sura lake duh
........
 
1947 - Shirika la Ujasusi la Nchini Marekani ( C.I.A ) Laanzishwa.

Ni moja kati ya vyombo hodari vya usalama katika Dunia hii.

Makao makuu ya CIA yapo huko Langley, Virginia. Ambapo ina wafanyakzi takribani 40,000 Duniani kote. Kati ya hao wanaojulikana ni 22,000 tu.

Pamoja na Operesheni kabambe walizowahi kufanya, Pia CIA imekuwa ikilaumiwa kutokana na kuhusika katika mauaji ya baadhi ya viongozi mbalimbali Duniani hasa kwa Nchi za Amerika ya Kusini na Afrika ambao huwa na mlengo wa kushoto.
IMG_20160918_120639.jpeg
IMG_20160918_120652.jpeg

Samtaimu huchemsha
........
 
Wapinzani lazima tuendelee kukosoa na hii ndio kazi yetu.
Lakini tuwe wakweli kwa haya;
1. Nchi ilisha nuka rushwa
2. Watu walifikia kiwango cha miungu
3. Dharau na jeuri ya pesa ilizidi
4. Rushwa ilikithiri

KWA SASA
1. Watu wamenyooka
2. Hofu imetawala kwa wafanyakazi wa umma
3. Angalau wanajituma

ATHARI YAKE
1. wateule wengi wanafanya kz kwa kurupuka
2. Wengi wanaonewa kwani haufanyiki utafiti kabla ya hatua
3. Mkuu amewapa wateule wake jeuri kwn hawana semina elekezi
Naye hakemei uonevu huo
4. Mengi yanafanyika kwa matamko bila kufuata sheria

Dira sahihi ikiwepo tutafika tuendako
Toka uzaliwe ndugu yangu.. Leo ndio umeongea point

Itabidi tukucheze ngoma, umekuwa kaka..
 
1964 - Jeshi la Vietnam Kaskazini lavamia Vietnam Ya Kusini na kuanza kuwashambulia katika kile kilichokuja kujulikana kama Vita ya Vietnam.

Ambapo Vietnam ya Kaskazini walikuja kusaidiwa na Marekani wakati Vietnam ya Kusini walisaidiwa na Urusi.

Vita hiyo Maarufu ya miaka ya 1960s ilipigwa katika misitu minene sana ya Vietnam hali iliyowafanya Wamarekani kushindwa vibaya sana!!
IMG_20160918_122046.jpeg
IMG_20160918_122035.jpeg
IMG_20160918_122025.jpeg

Maisha bila vita hayaendi
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom