Makapuku Forum

Makapuku Forum

1919 - Nchi ya Uholanzi yawapa haki Wanawake wa Nchi hiyo kupiga kura katika Chaguzi mbalimbali Nchini humo.
IMG_20160918_104345.jpeg
IMG_20160918_104332.jpeg

Ubaguzi
........
 
Unajua hii nchi kuna watu wanafanya kama yao pekee yao. Toka JPM aingie kidogo ila sio sana. Muda mwingine maamuzi magumu Ni lazima ila watu wajue kuwa tunataka maendeleo kwa vitendo wala sio maneno tupu.

JPM aoneshe dira tu mbona tutanyooka
Wapinzani lazima tuendelee kukosoa na hii ndio kazi yetu.
Lakini tuwe wakweli kwa haya;
1. Nchi ilisha nuka rushwa
2. Watu walifikia kiwango cha miungu
3. Dharau na jeuri ya pesa ilizidi
4. Rushwa ilikithiri

KWA SASA
1. Watu wamenyooka
2. Hofu imetawala kwa wafanyakazi wa umma
3. Angalau wanajituma

ATHARI YAKE
1. wateule wengi wanafanya kz kwa kurupuka
2. Wengi wanaonewa kwani haufanyiki utafiti kabla ya hatua
3. Mkuu amewapa wateule wake jeuri kwn hawana semina elekezi
Naye hakemei uonevu huo
4. Mengi yanafanyika kwa matamko bila kufuata sheria

Dira sahihi ikiwepo tutafika tuendako
 
1947 - Shirika la Ujasusi la Nchini Marekani ( C.I.A ) Laanzishwa.

Ni moja kati ya vyombo hodari vya usalama katika Dunia hii.

Makao makuu ya CIA yapo huko Langley, Virginia. Ambapo ina wafanyakzi takribani 40,000 Duniani kote. Kati ya hao wanaojulikana ni 22,000 tu.

Pamoja na Operesheni kabambe walizowahi kufanya, Pia CIA imekuwa ikilaumiwa kutokana na kuhusika katika mauaji ya baadhi ya viongozi mbalimbali Duniani hasa kwa Nchi za Amerika ya Kusini na Afrika ambao huwa na mlengo wa kushoto.
 
Wapinzani lazima tuendelee kukosoa na hii ndio kazi yetu.
Lakini tuwe wakweli kwa haya;
1. Nchi ilisha nuka rushwa
2. Watu walifikia kiwango cha miungu
3. Dharau na jeuri ya pesa ilizidi
4. Rushwa ilikithiri

KWA SASA
1. Watu wamenyooka
2. Hofu imetawala kwa wafanyakazi wa umma
3. Angalau wanajituma

ATHARI YAKE
1. wateule wengi wanafanya kz kwa kurupuka
2. Wengi wanaonewa kwani haufanyiki utafiti kabla ya hatua
3. Mkuu amewapa wateule wake jeuri kwn hawana semina elekezi
Naye hakemei uonevu huo
4. Mengi yanafanyika kwa matamko bila kufuata sheria

Dira sahihi ikiwepo tutafika tuendako
Hizi Ni changamoto katika njia ya kulekea kule tunapopataka maana tupo nyuma sana kwa vingi.

Kingine upinzani nao wawe na nguvu ya pamoja inayoeleweka. Tatizo wanasiasa wa Tanzania hawaeleweki sana.

Safari bado ndefu sana
 
Tatizo jamaa haonyeshi ni nin kalenga but kagame yuko wazi ni wapi anaipeleka nchi, matunda yanaonekana na anaungwa mkono na watu wake, kumbuka alishirikiana diaspora kuboresha makazi duni ya warwanda, kuimarisha uchumi mipango yake iko wazi.
Endapo jamaa akaweka wazi dira yake ya maendeleo na kuanza kuonyesha dalili za kuisimamia
Tutamuunga mkono mkuu wangu.
Shida dira haieleweki, ni sawa majipu yametumbuliwa lkn swali, what next!
Naona tunaenda kwenye giza
 
1964 - Jeshi la Vietnam Kaskazini lavamia Vietnam Ya Kusini na kuanza kuwashambulia katika kile kilichokuja kujulikana kama Vita ya Vietnam.

Ambapo Vietnam ya Kaskazini walikuja kusaidiwa na Marekani wakati Vietnam ya Kusini walisaidiwa na Urusi.

Vita hiyo Maarufu ya miaka ya 1960s ilipigwa katika misitu minene sana ya Vietnam hali iliyowafanya Wamarekani kushindwa vibaya sana!!
 
Hebu tuongee ukweli wewe ulibariki ujio wa Edo kwenda upinzani?
Nilichobariki mimi ni ccm kubomoka, cikutamani isalie kwenye ramani ya siasa, kwani mateso yote ya nchi hii ni wao ni pamoja na Lowasa.
Nilichokiunga mkono ni kuja kuongeza nguvu upinzani
Japo baadae niliona upinzani naoulikosea kwani huyu mtu wanamfahamu sana madudu yake mbali na richmond ambapo alikuwa victim tu, lkn background yake sio njema
Ilikuwa heri nusu shari kuliko shari kamili ambalo ni ccm.
Hapakuwa na namna kwn nisinge vote ccm.
Nadhani nimekujibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom