makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,901
- 104,146
Ni poa tu mkuuNzuri,vp wewe
Ni poa tu mkuuNzuri,vp wewe
McAfee antivirus
Nani huyu!!?Kumbe na huyu siku hizi anafukuza mapepo View attachment 402482
Tatzo tunafanya mambo kisiasa na sifa.. Hawajui wapi siasa wapi siasa isihusike.. Haiwezekan kwenye mambo nyeti, maendeleo n.k ulete usiasa usiasa.. Hakuna kitakachofanikiwaUmenena sana, acha nigusie ;
ELIMU
...tunataka tuwe nchi ya viwanda,
Tumewaanda vijana na kuwapa
elimu?
Mitaala je?
Au tutaleta wataalum toka Rwanda?
JAPAN
tujifunze toka kwao, walipoamua kuwa nchi ya viwanda waliingia mkataba na usa kuwafundishia vijana 100 kama sikosei, waliporudi nchini walitrain vijana wengi zaidi ndipo Toyota ikaanza.
KILIMO KWANZA
slogan ya kisiasa isiyo na vitendo.
Wakulima wanapata mafunzo?
Wanapata ruzuku kwa kwa wakati?
Wanatafutiwa masoko?
Yah.. Ndio mie nililolilenga, anawezaakatamn urais hata km afya yake ikiwa mbov kuliko sasa...Hofu yangu naona afya kama haitamudu mikimikiki
Kwa hali hiyo wapinzani wake watapata fimbo ya kumchapia, so ushindi ni ziroYah.. Ndio mie nililolilenga, anawezaakatamn urais hata km afya yake ikiwa mbov kuliko sasa...
AiseeeeHuyo mbona mzur tu, ushawah kujiuliza Bale angekuwa mweusi..
Sam Mahela wa ItvNani huyu!!?
'...................' makaveli10Kijana mwenyewe.. Siooo, .................!!!! Kweli.![]()
![]()
JK alitaka mazoeaHuyu jamaa sio uchwa.r. ni dikt wa ukweli, ameinyoosha nchi yake hakuna bla blaa, ndo maana alimchenjia jk

SureJK alitaka mazoea![]()
Ndio!! aweke Strategic plans zake mezani...watu tutamsupport....maneno mengi hayatoshiTatizo jamaa haonyeshi ni nin kalenga but kagame yuko wazi ni wapi anaipeleka nchi, matunda yanaonekana na anaungwa mkono na watu wake, kumbuka alishirikiana diaspora kuboresha makazi duni ya warwanda, kuimarisha uchumi mipango yake iko wazi.
Endapo jamaa akaweka wazi dira yake ya maendeleo na kuanza kuonyesha dalili za kuisimamia
Tutamuunga mkono mkuu wangu.
Shida dira haieleweki, ni sawa majipu yametumbuliwa lkn swali, what next!
Uko sahihi kabisa makaveliTatzo tunafanya mambo kisiasa na sifa.. Hawajui wapi siasa wapi siasa isihusike.. Haiwezekan kwenye mambo nyeti, maendeleo n.k ulete usiasa usiasa.. Hakuna kitakachofanikiwa
Mikwara isiyo na tija imezidiNdio!! aweke Strategic plans zake mezani...watu tutamsupport....maneno mengi hayatoshi
Ndio zake huyo, kumbe ulikuwa hujuiSam Mahela wa Itv
Huyu mzee kweli kabisa alisafiri hivyo jamani kama tulivyosoma..sometimes nahisi kama wazungu wametuchezea mchezo wa pata potea hapo! atagundua vipi bara la Africa kwani halikuwa na watu kipindi hicho au inakuaje...Leo katika Historia:
1502 - Christopher Columbas anawasili Honduras katika safari yake ya nne na ya mwisho kabisa.
Kwema kabisa, huko brizKwema jamani, habari ya wikend??
Asante sana......kwa hisani ya munyamaView attachment 402305View attachment 402306
Kwa hisani ya wa kimataifa sina la ziada kutoka katika meza ya magazeti.
Niite Jimena Jimenes nawatakia jumapili tulivu na yenye amani tele.
Adios
