Mmbaba upoNi poa sana kaka
Nipo ankali...ubize ni mwingi pamoja na kwamba ni wikend
Ahsante shem lake nshakaribia
Nasubiri hapa kwa hamu sanaOld is ever Gold itawajia hivi.......
Pole bitoz, ila combination ya fellain na pogba imegoma kabisa,
1/Rooney & Martial hawastahili starting XI
Kocha anawabeba bila 7bu ya msingi matokeo yake timu inakuwa ovyo
2/Timu haina nidhamu ya mechi....wachezaji wanacheza faulo za kijinga karibu na box(sizingumzi penalty) kuna mafaulo mengi ya kijinga yalitaka kuigharimu timu
3/Rooney & Martial mechi ijayo wakianza SIENDI KUANGALIA MPIRA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................

Hata kiungo wa chini hachezi inavyotakiwa, kama mechi hizi Carrick angekuwa anacheza ungeona nachokisema1/Rooney & Martial hawastahili starting XI
Kocha anawabeba bila 7bu ya msingi matokeo yake timu inakuwa ovyo
2/Timu haina nidhamu ya mechi....wachezaji wanacheza faulo za kijinga karibu na box(sizingumzi penalty) kuna mafaulo mengi ya kijinga yalitaka kuigharimu timu
3/Rooney & Martial mechi ijayo wakianza SIENDI KUANGALIA MPIRA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.................
Hivi game ya man u ngapi ngapi???Ila muda mwingine mnaonea watu tu?

Tatizo sio wao tatizo RooneyPole bitoz, ila combination ya fellain na pogba imegoma kabisa,
Carrick inabidi achukue nafasi
Hao nyumbu wakianza next game bora nilale tu gheto hao wanachangia % kubwa timu kufeli
Atachezaje Carrick wkt tyr una vizee viwili mbele(Rooney & Ibra)?Hata kiungo wa chini hachezi inavyotakiwa, kama mechi hizi Carrick angekuwa anacheza ungeona nachokisema
Wewe mukongo Kuja hapa
Uko sahihi bitoz, lakini na Jose timu inamshinda kuipanga, fellain, Rooney na martial hawatakiwi kuanza kwa wakati mmoja, ibra nae Dakika 90 kwa sasa haziwezi tena, hapa mwishoni alichoka sanaAtachezaje Carrick wkt tyr una vizee viwili mbele(Rooney & Ibra)?
Piga kwanza benchi Rooney
Tatizo # 1 ndouangalie mengine
..............
Umefuatilia mechi zote?Uko sahihi bitoz, lakini na Jose timu inamshinda kuipanga, fellain, Rooney na martial hawatakiwi kuanza kwa wakati mmoja, ibra nae Dakika 90 kwa sasa haziwezi tena, hapa mwishoni alichoka sana