Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
2014 - Scotland yapiga kura ya kujitenga katika United Kingdom.
Samtaimu utengano is better
.....
2014 - Scotland yapiga kura ya kujitenga katika United Kingdom.
Swahiba wake na 2pac, yasemekana mshikaji alikuwa anakosha rungu..1971 - Jada Pinkett Smith anazaliwa.
Ni muigizaji toka Hollywood nchini Marekani.
Sure..Tatizo kubwa tulilonaro kama nchi hatuna dira, kila kiongozi anakuja na mambo yake na hayana faida kwa nchi
Kikubwa tutambue dira yetu ni nini
Kipaombele chetu tuanzie na nini
Mfano tunatatizo kubwa sana upande wa sekta ya elimu, kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu
Watu wanamaliza chuo hawajitambui na serikali yetu haijalitambua kama hili ni tatizo
Kilimo nayo haina kipaombele chochote kile, angalia hiki kituko, watu wanalima matunda mwisho wa siku yanaoza, je kesho mkulima huyo ataendelea kulima? Bora aje mjini awe dalali
Tuna viwanda vya watu binafsi vya juisi ili kumlinda mkulima wa Tanzania, lazima azam,mo na Coca-Cola wapewa conditions za kununua matunda angalau 15% kutoka kwa wakulima, utaonana watu watakavyokuwa wanashindana kulima, watermelon, machungwa, tango nk
Kwa hapa tulipofika Tunahitaji kuwa na upembuzi yakinifu wa nini tufanye,
Mimi naona kama bora tunapiga macktime tu
Kuitunza tutaweza?View attachment 402445View attachment 402446View attachment 402447
Watuazime japo kandege ka1
......
Nzuri,vp weweHabari za mchana wa jumapili ndugu zangu...
Kijana mwenyewe.. Siooo, .................!!!! Kweli.Gerezani kuna vituko balaa
Kijana mmoja alifungwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka ng'ombe, ratiba ya huko gerezani kila ijumatatu ni wali nyama ya ng'ombe... Maneno yanayotoka kwa wafungwa wenzake sasa"leo siku ya wali na shemeji jamani"![]()

Niliipenda, ile nyimbo yake ya paparazzi1974 - Xzibit anazaliwa.
Ni rapa toka nchini Marekani.
1945 - John McAfee anazaliwa.
Ni mtaalam wa Program za Computer kutoka nchini Marekani.
Ndio mwanzilishi wa McAfee
Tafuta clean master.. Inasaidia kufuta cache.. Residual files. Itakuwa poa..Sasa simu haina space na nadelete lkn wapi..natoa application lkn wapi
..........
Umenena sana, acha nigusie ;Tatizo kubwa tulilonaro kama nchi hatuna dira, kila kiongozi anakuja na mambo yake na hayana faida kwa nchi
Kikubwa tutambue dira yetu ni nini
Kipaombele chetu tuanzie na nini
Mfano tunatatizo kubwa sana upande wa sekta ya elimu, kuanzia msingi mpaka vyuo vikuu
Watu wanamaliza chuo hawajitambui na serikali yetu haijalitambua kama hili ni tatizo
Kilimo nayo haina kipaombele chochote kile, angalia hiki kituko, watu wanalima matunda mwisho wa siku yanaoza, je kesho mkulima huyo ataendelea kulima? Bora aje mjini awe dalali
Tuna viwanda vya watu binafsi vya juisi ili kumlinda mkulima wa Tanzania, lazima azam,mo na Coca-Cola wapewa conditions za kununua matunda angalau 15% kutoka kwa wakulima, utaonana watu watakavyokuwa wanashindana kulima, watermelon, machungwa, tango nk
Kwa hapa tulipofika Tunahitaji kuwa na upembuzi yakinifu wa nini tufanye,
Mimi naona kama bora tunapiga macktime tu
Usiseme hvyo mkuu, hiz ngoz ni km tumelaaniwa kwa uchu wa madaraka... Yule anaweza kugombea hata akiwa km mugabeTo be honest hawezi tena kuwa mgombea 2020.
Usiseme hvyo mkuu, hiz ngoz ni km tumelaaniwa kwa uchu wa madaraka... Yule anaweza kugombea hata akiwa km mugabeTo be honest hawezi tena kuwa mgombea 2020.
Rooney...Upo njema
Vipi vinara wa magoli
......
Mchezaj muhim sana man city uwepo wake unasaidia sana ndan ya uwanjaDe Bruyne anaufanya mpira Uonekane mchezo mwepesi sana! Movement zake akiwa na mpira ni hatari, hachoshi kumtazama.
Jaribu app moja, u boost memory yako
Huyo mbona mzur tu, ushawah kujiuliza Bale angekuwa mweusi..
Atafka tu, nafasi anayoView attachment 402440View attachment 402442View attachment 402443View attachment 402444
Rooney ataifikia?
.......
Hofu yangu naona afya kama haitamudu mikimikikiUsiseme hvyo mkuu, hiz ngoz ni km tumelaaniwa kwa uchu wa madaraka... Yule anaweza kugombea hata akiwa km mugabe
Nan huyoKumbe na huyu siku hizi anafukuza mapepo View attachment 402482