Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sio mbaya cha msingi tumeshiriki pamoja leo
Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..

Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..

Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..

Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..

Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..

Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine

[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
 
Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..

Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..

Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..

Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..

Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..

Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine

[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
Pamoja sana mkuu japo hujanitaja nadhani sababu sijawa kapuku wa kutupwa ngoja nifilisike kwanza
 
Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..

Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..

Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..

Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..

Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..

Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine

[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
Peace and love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom