briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Na kwako piausiku mwema!!
Na kwako piausiku mwema!!
Niko pouwa kabisa. Kitambo sijaingia hapa, kuna wageni?Yah sijui wewe
Mkuu umepotea sanaWazima humu ndani?
Barida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..Sio mbaya cha msingi tumeshiriki pamoja leo
Nawe pia mwenyekitiusiku mwema!!
Mmhhh,mgeni labda Mimi coz humu nawajua wachache tuNiko pouwa kabisa. Kitambo sijaingia hapa, kuna wageni?
Sana aiseeMi na wewe ankali tumeunusa ushindi kwa karibu kabisa
Ila tunausherehekea nyumbani AnkaliMi na wewe ankali tumeunusa ushindi kwa karibu kabisa
Pamoja sana mkuu japo hujanitaja nadhani sababu sijawa kapuku wa kutupwa ngoja nifilisike kwanzaBarida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..
Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..
Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..
Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..
Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..
Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine
[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
NipoIla tunausherehekea nyumbani Ankali
Shukrani sana ankaliNilikutengenezea njia baada ya 99k
Weka pichaJecha..
Via
MALKIA WA NGUVU
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na kwako pia mwenyekitiusiku mwema!!
Kesho ulete Riwaya sasaYani huyu nmemiwekea kiporo..
Kesho ntamuandama vbaya sanaa
Peace and loveBarida wanangu, kifupi nafurah uzi umepa, lengo letu as a family tumefanikisha..
Wengine wasihuzunike saana, ni ishu za kawaida, kila mmoja ni mshindi mpaka hapa tulipofikia, na kila mmoja ana rekod yake ambayo mwingine hawez ipata, mwenye post 89 nae ana rekod yake maana hamna atakayeweza kuivunja hyo.. Much respect kwenu nyote..
Watu fulani ndani ya muda mfup mmeweza kunitoa unyonge nilio nao nakujihisi mpya..
Have you ever missed some1 you have never seen.. Mie katika mara chache hii moja wapo, wakati mwingine najihisi mnyonge hasa kisa nimewamis makapuku wenzangu..
Shululu,jonaz,bitoz,Mussolini 5,werrason,Quigley, jimena,briz,sweetiepie nawapenda sana ndugu zangu, hii inatoka kwenye center kabsa ya moyo wangu..
Heshima kwenu wengine wote mliofanikisha uzi huu umefika hapa kwa namana moja ama nyingine
[HASHTAG]#SALUTE[/HASHTAG]
Pamoja sana AnkaliShukrani sana ankali
Majukumu yananibana kaka, ila naamini tupo pamoja. Mzima wewe?Mkuu umepotea sana
Tunamshukuru Mungu uzima unapatikana. Vipi kwako Mkuu?Wazima sana habari yako kiongozi?