Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
We siunaona speed ilivyokuwa kubwa..?Ungabure anaisoma no, gape limekuwa kubwa sana
Lazima akae tuu
We siunaona speed ilivyokuwa kubwa..?Ungabure anaisoma no, gape limekuwa kubwa sana
Uchochezi wa wazi kabisa...![]()
![]()
bitoz aliyeiba hela za ice cream juu ya friji kuweka bando bado kafeli
Popote bitoz nakupungia![]()
nawe "PUNGA"
![]()
![]()
![]()
Nilikutengenezea njia baada ya 99k
Tulia we kambale.. Mkata mauno kwa shoka..We Perege umeanza
![]()
![]()
![]()
![]()
.............

Sio mbaya cha msingi tumeshiriki pamoja leoHapa saa hizi inasoma E lakin fresh si haba.. Napata vya ukoko..
Mpaka nimeogopa aisee, speed ya hatari sana,Sio kwa Supidi hii
Nimeona aiseeWe siunaona speed ilivyokuwa kubwa..?
Lazima akae tuu
Nawe pia kaka, ulale unono ndugu yangu..Ngoja nilale naona 100k povu jingi mbona zingine hazikuleta mabishano
USIKU MWEMA
.....................
Yah sijui weweWazima humu ndani?
Mi na wewe ankali tumeunusa ushindi kwa karibu kabisaNilikutengenezea njia baada ya 99k
Nakwako piausiku mwema!!
Yani huyu nmemiwekea kiporo..Muache apumzike bana amevutwa sana leo![]()
Wazima sana habari yako kiongozi?Wazima humu ndani?