Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
InterestingNamba 4.
Mathew Bevan na Richard Pryce
Hawa ni raia wa kiingereza . Hawa wataalamu wa computer walifanya udukuzi kwenye computer za serikali kubwa hasimu duniani.
Walifanikiwa kufanya uvamizi na kuweka virus kwenye computer za jeshi la marekani .
Walishavamia computer za Nato, na Lockheed kampuni ya kutengeza holicoputer za kijeshi.
Hawa jamaa alimanisura waazishe vita ya tatu ya dunia baada ya kuchukua mafaili ya Mitambo ya tafiti za Nyuklia za korea kaskazini na kuzituma kwenye kumputer za jeshi la marekani na wakati huo huo kuchukua Faili za staili hiyo za korea kusini na kuzituma nchini marekani.
Pia waliiba mafaili ya UFOs kwenye maabara za jeshi la marekani.
Baadaye walikamatwa .
![]()
![]()
![]()
Madame S


%