Baba wawili huyooooZa jioni jirani
Ntachelewa wapiii wakati nakuhamuu
Usichelewe basi na hali ya hewa ya leo![]()
Mume hata hajapumzika ushamdaka na mashtaka wa wapi wwAmesema shemela me na wewe bongo movie mapenzi yetu yanaishia jukwaani tu
Wewe ulikula vitumbua vya lini mpaka ukasema hayo...
Mm na shunie kiukweli ni mke na mme mr ..apa nimeweka utan pemben
Kila mtu anakuja kwenye maisha ya mtu Mungu akiamua...through kapuku nimepata mke bora
