Nipo picha ya ndege, vip umekuja na gari kunichukuaNambie baba watoto
Mimi nilishazoeaPoleni jamani
Madame S
Acha utani bana na utu uzima huu c aibuNakwambia leo utaliwamga vaa pampers kabisa
Madame S
Nimeishakalibia mama JJKaribu sana baba watoto tunakusubiri kwa hamu
Ni kweli kabisa siu moja ntajaribu na mieMimi nilishazoea
Ila siku zingine muda unabana pia ni vizuri na wengine waandike ili hata nisipokiwepo hata mwezi mambo yaende
......
Si umesoma bango eh??Acha utani bana na utu uzima huu c aibu


Jiandae
Why alijiua sasaNamba 5
Jonathan James.
Huyu alikuwa mtu wa kwanza kufungwa akiwa na miaka 16 kwa kosa la Cyber-attack.
James alishambulia kwa muda tofauti Idara ya ulinzi ya inayouhisika masuala ya silaha za maangamizi (DTRA) Defense of Threat Reduction Agency ya marekani na kupakua mafaili mengi ya siri.
Aliiba passwords na kupakua emails nyingi, mwisho kabisa akaamua kuiba Software za DTRA.
Alifahamika sana kwa jina la Comrade.
James the Comrade aliifanya NASA ifunge Mitambo yake na kumlipa USD 41,000 .
Aliamua kujiua baada ya polisi kufika kwao kufanya searching.
![]()
![]()
Ila utatemeka balaaNi kweli kabisa siu moja ntajaribu na mie
Madame S
Ntajaribu tu nikishindwa basi bana sitatetemeka wala ntajikazaIla utatemeka balaa
Kumbuka sio kila mtu anajua kuandika ila kukopi kila mtu amaweza
![]()
![]()
![]()
.....
Pia watu waelewe umri wa miaka 16 kwa nchi zingine tayari unakuwa ni mtu mzima sasa siyo mtu una miaka 17 uende nchi za watu ukafanye uhalifu ukidhani wewe ni mtoto !!Namba 5
Jonathan James.
Huyu alikuwa mtu wa kwanza kufungwa akiwa na miaka 16 kwa kosa la Cyber-attack.
James alishambulia kwa muda tofauti Idara ya ulinzi ya inayouhisika masuala ya silaha za maangamizi (DTRA) Defense of Threat Reduction Agency ya marekani na kupakua mafaili mengi ya siri.
Aliiba passwords na kupakua emails nyingi, mwisho kabisa akaamua kuiba Software za DTRA.
Alifahamika sana kwa jina la Comrade.
James the Comrade aliifanya NASA ifunge Mitambo yake na kumlipa USD 41,000 .
Aliamua kujiua baada ya polisi kufika kwao kufanya searching.
![]()
![]()
HahahahhahahahahhahaMadame S leo nikijikojolea utanifulia..







kwa nn umesoma lakini