Makapuku Forum

Makapuku Forum

Top Ten leo August 14 2017


Wasalaam..

Leo nawaletea Top Ten..kwa hisani ya Bitoz na Sakayo.

Mawasiliano ni jambo la muhimu kwa maisha ya sasa,kila kitu kinataka masiliano ambayo yanaratibiwa na Computers zetu wenyewe.

Lakini, hatuwezi kutamka masiliano bila kuacha masiliano ya internet.

Mfumo wa internet wa world wide web ( www) umekuwa ukitumika kila siku kuhifadhi na kisafirisha data na mafile kedekede kutoka sehemu moja kwenda mahali pengine.

Mtandao unahitaji usalama na ulinzi. Lakini kumekuwa na baadhi ya wataalamu wa computer (Hackers) kufanya wizi na uvunjifu wa sheria za kimasiliano na mifumo ya computers..
5d0768fafc2fbda53ba1cd6429a62150.jpg

0905418960036fa35b5a627efad8f9cf.jpg


Leo Tuone watu 10 waliofanya wizi wa data, na kuingia kwenye computers za watu bila ridhaa..


Tuwe pamoja. Nikishindwa kutafsiri kuja kwenye kiswajili mtanisamehe..
Mi naona mdaubkama upo free mida ya jioni endelea tu hata wiki nzima maana wiki hii majanga pia nishaandika vitu vingi hivyo bora uendelee ili tupate vitu vipya maana ushaanza kuwa gwiji ila jitahidi uandike kiswahili tupu

.......
 
Namba 10.


Alberto Gonzalez

Alberto Gonzalez alizaliwa mwaka 1981 nchini Cuba.

Baada ya kuja Us kama mkimbizi na wazazi wake, alipata computer yake ya kwanza akiwa na miaka 8.

Baada ya hapo akaenda kusoma shule Miami-Florida na huko akajiunga na kikundi cha Shadowcrew chanye hackers..

Pamoja na Mtandao wa bank ya Netinezs kuwa uko salama ila Alberto alitengeza mastermind profile kwenye internet nakuingia mfumo wa computer wa bank hiyo.

Anashikilia rekodi ya hacker alifanya wizi mkubwa wa Credit Card kwa kuwa aliuza zaidi ya Credit Card 170 million
Na kuwa wizi mkubwa katka wa Cards katika maisha ya mwanadamu.
a6c60f51a3be67844061b5e376eaa5aa.jpg
a5c2de91a674f2a3239648b42cce3987.jpg

Gonzalez alihukumiwa kifungo cha miaka 20.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom